Msanii Ray C azidiwa na Madawa ya Kulevya; asaidiwa na Polisi

Msanii Ray C azidiwa na Madawa ya Kulevya; asaidiwa na Polisi

amepigwa na jini baya, ni wakupeleka kwenye maombi na sober houses. kigamboni pia ipo, duh! MWENYE ENZI MUNGU amtetee!
Ni muujiza tu na kwa Rehema za Mwenyezi Mungu ndio vitakavyomuokoa Ray C na si watu au Sober house yoyote. ..ulevi wa madawa ya kulevya ni kitu kingine kabisa ni lethal killer vampire asiye na huruma hata kidogo
 
Maisha ya RC sio ya kumbeza hata kidogo yanatufundisha sana kua katika maisha waweza pata janga baya likaharibu maisha yako yote (Kama umewahi fikwa na jambo zito ndio utaelewa)
Ray C nnaemjua wa enzi hizo alikua anamiliki mijengo yake ya maana, alikua na mikoko ya maana, alikua na Botiques nakumbuka moja ilikua hapo Morocco , Lunch anakula steers (enzi izo bab kubwa pale Posta), nilikuaga nafanya Internship kwenye Bank moja apo town Ray C alikua anakuja kufanya transactions za maana (alikua na Account ya usd & Tshs) zina masalio makubwa mno nyinyi acheni kabisa tuombe sana Mungu hatujui kesho tusimseme vibaya huwezi jua
Ray C nakunenea mema Mungu akufungue na kukuweka huru toka kwenye roho Chafu za madawa ya Kulevya
 
M
Ni muujiza tu na kwa Rehema za Mwenyezi Mungu ndio vitakavyomuokoa Ray C na si watu au Sober house yoyote. ..ulevi wa madawa ya kulevya ni kitu kingine kabisa ni lethal killer vampire asiye na huruma hata kidogo

Mkuu msaidie kutoa hilo Jini hata Mimi niliwaza hivyo atakua kapigwa huyo na wanawake wa Ruge
 
Msanii wa muziki Rehema Chalamila aka Ray C usiku wa jana alikamatwa na jeshi la polisi maeneo ya Kinondoni Manyanya almaarufu ‘Kinondoni kwa Mpemba’ jijini Dar es salaam baada ya kupiga makelele barabarani akidai anataka kutekwa.

Ray C akiwa kwenye gari la polisi



=================
More:

Hali ya kiafya ya mwanamuziki mkongwe Rehema Chalamila ‘Ray C, imeonesha kuwa tata kutokana na kile kinachodaiwa kuwa ni matumizi ya madawa ya kulevya jambo lililoleta sintofahamu baada ya video inayozunguka mitandaoni ikionyesha akichukuliwa na Polisi huku akisema kuwa wanamteka.

Habari zinadai kuwa mama yake mzazi amekuwa akikesha kumtafuta mrembo huyo kutokana na kuzama kwenye vijiwe vya mateja wa madawa hayo na kushindwa kuonekana nyumbani kwani kwa siku kadhaa na watu kujitokeza kumsaidia bila mafanikio.

Sambamba na hilo siku za hivi karibuni mwanamuziki Jay Dee, alionekana kuwa naye karibu na kudai kuwa Ray C, anahitaji marafiki wazuri na watu wavumilivu kuweza kumsaidia kwani kumlaumu pekee hakuwezi kumjenga bali ni kumzidi kumharibu kisaikolojia.

Mmoja wa wasanii wa Bongo Movie, Esha Buheti, kupitia mtandao wa kijamii ameweza kueleza jinsi gani alivyoguswa baada ya kumuoa Ray C akiwa chini ya ulinzi wa polisi akiwa hajitambui na kuongea maneno yasiyoeleweka na kudai kuwa awali alijua mrembo huyo anasingiziwa tuu.

Ameandika “Nashindwa hata niongee nini jamani, Ray C leo Kinondoni umenitoa machozi, jamani tufanye kitu tumsaidie Ray C, I mean it jamani siku zote nlikuwa najua anaonewa ila nilichokishuhudia leo nimeumia kutoka moyoni amedhalilika mwanamke mwenzetu, jamani tufanyeje?”

Akaendelea “Nilikua na Kabula, Kinondono kwa wapemba tumefuata chips mara tukasikia mtu anasema me Ray C nataka kuvua nguo, nikajua utani kushuka ni Ray C anasema nishikeni kuna watu wanataka kuniteka, alikuwa na nguvu sana watu kumshika akaanza kuongea vitu havieleweki, akaanza kutafuta kisu ajichome, watu walimzuia sana walishindwa akaanza kugaragara kwenye matope akipiga kelele,”

“Kiukweli nilijikuta nalia mara ikaja gari ya polisi ikambeba ila kwa tabu sana alikua akipiga kelele jamani nisaidieni msiniache kiukweli mpaka Ray C anaondoka na ile gari ya polisi sikujua anapelekwa wapi alikuwa kama mtu alopata kichaa, YARRAB TUNAMSAIDIAJE RAYC?”.


Ray C???? bora nikasaidie watu muhimbili, J.K alitoa pesa zake leo maisha ameyachagua kuishi tuhangaike upande wa 2
 
Maisha ya RC sio ya kumbeza hata kidogo yanatufundisha sana kua katika maisha waweza pata janga baya likaharibu maisha yako yote (Kama umewahi fikwa na jambo zito ndio utaelewa)
Ray C nnaemjua wa enzi hizo alikua anamiliki mijengo yake ya maana, alikua na mikoko ya maana, alikua na Botiques nakumbuka moja ilikua hapo Morocco , Lunch anakula steers (enzi izo bab kubwa pale Posta), nilikuaga nafanya Internship kwenye Bank moja apo town Ray C alikua anakuja kufanya transactions za maana (alikua na Account ya usd & Tshs) zina masalio makubwa mno nyinyi acheni kabisa tuombe sana Mungu hatujui kesho tusimseme vibaya huwezi jua
Ray C nakunenea mema Mungu akufungue na kukuweka huru toka kwenye roho Chafu za madawa ya Kulevya

kama janga litokanalo na kutokua na kinga sawa, mf ajali, magonjwa ila sio la ulevi wa dawa za kulevya ambazo ilishakutesa ukasaidiwa bado unarudi unalia lia, sasa hivi tunapeleka hizo pesa hospitalini
 
Maisha ya RC sio ya kumbeza hata kidogo yanatufundisha sana kua katika maisha waweza pata janga baya likaharibu maisha yako yote (Kama umewahi fikwa na jambo zito ndio utaelewa)
Ray C nnaemjua wa enzi hizo alikua anamiliki mijengo yake ya maana, alikua na mikoko ya maana, alikua na Botiques nakumbuka moja ilikua hapo Morocco , Lunch anakula steers (enzi izo bab kubwa pale Posta), nilikuaga nafanya Internship kwenye Bank moja apo town Ray C alikua anakuja kufanya transactions za maana (alikua na Account ya usd & Tshs) zina masalio makubwa mno nyinyi acheni kabisa tuombe sana Mungu hatujui kesho tusimseme vibaya huwezi jua
Ray C nakunenea mema Mungu akufungue na kukuweka huru toka kwenye roho Chafu za madawa ya Kulevya
Umeandika kwa ufasaha sana
 
amepigwa na jini baya, ni wakupeleka kwenye maombi na sober houses. kigamboni pia ipo, duh! MWENYE ENZI MUNGU amtetee!
Sidhani kama ni jini. Ni matokeo ya uchaguzi aliofanya. Life is all about making choices.
 
Sisi wabongo ovyo kweli,Ray c alikuwa amepiga pombe zake na zimefika kunako halafu tunakuja hapa na kuandika mambo ya madawa ya kulevya!...... Yaani kila kitu tunakibadilisha kuwa udaku!
 
Mambo mengine nikujitafutia.
Si alisaidiwa na rais mstaafu kuacha madawa.
Kama alirudia tena hiyo ni kujitafutia.
 
Oooiii atajua yeye buana! Siwezi igiza nalia ujinga! Nina ndugu wana shida kuliko hata huyo aliye amua kuwa teja,,,,
 
Sidhani kama ni jini. Ni matokeo ya uchaguzi aliofanya. Life is all about making choices.

trust me! anapelekeshwa huyo hajitambui kabisa! na akibarikiwa akipona, atabaki kusema 'what was I thinking?'
 
Ni muujiza tu na kwa Rehema za Mwenyezi Mungu ndio vitakavyomuokoa Ray C na si watu au Sober house yoyote. ..ulevi wa madawa ya kulevya ni kitu kingine kabisa ni lethal killer vampire asiye na huruma hata kidogo

kanisani, msikitini au sober house zitamsaidia kukaa karibu na watu wenye kaliba nyingine... na ni kweli maneno yako!
 
Kuna watanzania wengine wanahitaji msaada pia huyo Ray c ni ujinga wake mtu mpaka rais wa awamu ya nne alijitolea kumtibia mpaka akapona tena bado anarudia tena!
 
Kuacha madawa unataka muhusika mwenyewe aamue. Ray C bado hajaamua. Msaada aliopewa na rais haukuwa sahihi, kwani kuna wataalam walisema ile dawa aliyokuwa anakunywa nayo ni ulevi, ndo mana kuna siku alikosa dawa tulimuona alivyolia kuwa mwili unamuuma. Kuacha dawa za kulevya ni kwenda sober house tu ambako utaacha bila kunywa dawa yoyote, Bali kwa ushauri nasaha. Chid Benz huyo kaiset akili kwamba sitaki tena madawa. Tunamuona sasa hivi maendeleo yake ni mazuri sana kutokana na watu anaoongozana nao hakuna anayeweza kumshawishi huo upuuzi pale WCB. So Ray C, kampany hana, marafiki wema wamemtenga, badala yake ameendelea kuambatana na mateja wenzake,akijidangaya awashauri waache unga huku anawaonjea.
 
xRay-C-akiwa-kwenye-gari-la-polisi-1.jpg.pagespeed.ic.SrN9BSRRuH.jpg


Msanii wa muziki Rehema Chalamila aka Ray C usiku wa jana alikamatwa na jeshi la polisi maeneo ya Kinondoni Manyanya almaarufu ‘Kinondoni kwa Mpemba’ jijini Dar es salaam baada ya kupiga makelele barabarani akidai anataka kutekwa.

Muimbaji huyo mahiri ambaye ameathirika na Matumizi ya madawa ya kulevya, alidaiwa kufika katika eneo hilo na kuomba msaada lakini baadae aliomba kisu ili ajichome huku akiongea vitu visivyoeleweka.

Mmoja kati ya mashuhuda wa tukio hilo ambaye ni msanii wa filamu, Esha Buheti kupitia instagram yake aliandika ujumbe huu:

Nashindwa hata niongee nini jamani, rayc Leo kinondoni umenitoa machozi, jamani tufanye kitu tumsaidie rayc, I mean it jamani siku zote nlikua najua anaonewa ila nlichokishuhudia leoo nimeumiaa kutoka moyoni amedhalilika mwanamke mwenzetu, jamani tufanyeje? .

Nilikuwa na Kabula Kinondoni kwa wapemba tumefata chips mara tukaskia mtu anasema me Rayc nataka kuvua nguoo, nikajua utani kushuka ni Ray C anasema nishikeni kuna watu wanataka kuniteka, alikua na nguvu sana watu kamshika akaanza kuongea vitu havieleweki, akaanza kutafta kisu ajichome, watu walimzuia sana walishindwa akaaanza kugaragara kwenye matope akipiga KELELE kiukweli nilijikuta nalia mara ikaja gari YA polisi ikambeba ila kwa tabu sanaa alikua akipiga kelele jamani nisaidieni msiniache kiukweli mpk rayc anaondoka na ile gari yapolisi sikujua anapelekwa wapi alikua kama mtu alopata kichaa, YARRAB TUNAMSAIDIAJE RAYC?


Baada ya ujumbe huo, aliamua kupost video tena na kuandika:

Ray C hastahili haya jamani kweli Leo hii anafikia hatua hii? Najua hajitambui ila tumfikirie mwanamke mwenzetu ambae ni mamaake, anajiskiaje? Rayc nn kimekupata ? Hiii video inasambaa kila sehem kweli huyu ndo RAYC AMBAE NI NEMBO YA TAIFA?


Plz tumsaidie manake tusimhukumu? MBONA sisi kila siku mungu tunamkosea na hesabu makosa yetu? We need to do something jamani @tzshaderoom @mangekimambi_ @divathebawse @babutale @ @mwanafa @linexsundaymjeda @paulmakonda naomba tumstiri huyu mtu plz plz @lisa_fickenscher ( tunafanyaje kumsaidia jamani tusichoke me natamani aende rehab mwaka mzima) Leo rayc umedhalilika najua haikua akili yako mama DAAAAH hata sijui amepelekwa wapi maskini atakua amelala wapi?

Vipi kuhusu kesho Yake? Mamaake anajiskiaje? Inaumaa jamani tusikubali kumpoteza huyu dada nawaombaa tusaidiane @millardayo @rayc1982 my love kama hauko sawa jamani ongea na watz wapo tayari kujitolea kwa hali na mali my love.



kumbe Ray C nae ni nembo ya Taifa duh..... wabongo movie empty kabisa alafu analalamika mwanamke mwenzie kudhalilika na bado na yeye anapost tena io video kuendelea kumdhalilisha
 
Back
Top Bottom