Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Hivi hiyo ID yako inamaanisha Islamic State wale wa Syria mkuu?kila kiumbe kina thamani mbele ya macho ya MUNGU
In gwajimaz voiceAonywaye mara nyingi akishupaza shingo,atavunjika ghafula wala hapati dawa Mithali 29:1.
Hahaha..Kijijini kwetu ni Masaki na sina ndugu wa kumlilia wote mambo yao ni mazuri.
Hivi hiyo ID yako inamaanisha Islamic State wale wa Syria mkuu?
Mungu alimtuma Rais mstaafu Mh Jakaya Kikwete amsaidie ila yeye mwenyewe ray c kakaidi ku stop kutumia unga unataka yeye tena aje kwa njia ipi amsaidie? Kuna watu kibao wakuwaombea watoto yatima, nchi zenye vita, etc.. etc... Ila siyo huyu mla unga alisha bebwa sana ila abebeki!!kila kiumbe kina thamani mbele ya macho ya MUNGU
Mungu alimtuma Rais mstaafu Mh Jakaya Kikwete amsaidie ila yeye mwenyewe ray c kakaidi ku stop kutumia unga unataka yeye tena aje kwa njia ipi amsaidie? Kuna watu kibao wakuwaombea watoto yatima, nchi zenye vita, etc.. etc... Ila siyo huyu mla unga alisha bebwa sana ila abebeki!!kila kiumbe kina thamani mbele ya macho ya MUNGU
Leo mnamkana Rehema mnamsukumia waislam binaadam wabaya nyieRehema ni msichana mzuri wa kiislamu aliyepotea njia kwa tamaa za kidunia binafsi alishauriwa aachane na maisha ya kinondoni na badala yake ajenge mbagala wakati huo mbagala kulikuwa polini lakini yeye alichomoa na kung'ang'ania life la kula baga kino. Sasa maisha yamechukua nafasi yake sasa anatangatanga kama stray do.g/ but mimi kama ndugu yako bado nakushauri nafasi bado unayo tena mche Mungu na utapata mume na utaolewa na kutulia katika maisha, ukiteleza hapa tena basi utakuwa umepotea.
Kuacha madawa unataka muhusika mwenyewe aamue. Ray C bado hajaamua. Msaada aliopewa na rais haukuwa sahihi, kwani kuna wataalam walisema ile dawa aliyokuwa anakunywa nayo ni ulevi, ndo mana kuna siku alikosa dawa tulimuona alivyolia kuwa mwili unamuuma. Kuacha dawa za kulevya ni kwenda sober house tu ambako utaacha bila kunywa dawa yoyote, Bali kwa ushauri nasaha. Chid Benz huyo kaiset akili kwamba sitaki tena madawa. Tunamuona sasa hivi maendeleo yake ni mazuri sana kutokana na watu anaoongozana nao hakuna anayeweza kumshawishi huo upuuzi pale WCB. So Ray C, kampany hana, marafiki wema wamemtenga, badala yake ameendelea kuambatana na mateja wenzake,akijidangaya awashauri waache unga huku anawaonjea.
Haya majibu mnasoma au!!!!yani mnajua kudata na beat balaa!Masaki ya Gongo la mboto ama
Mi nadhani kwa wale walioguswa na matatizo ya Ray C tusiwakatishe tamaa waacheni walie na kama kuna uwezekano wakiweza wamsaidie. Na kwa wale wasioona umuhimu wa kumsaidia hiyo ni roho yako isikufanye kuwashawishi na wengine wenye kuhitaji kumsaidia.( ni kweli wenye matatizo ni wengi na makubwa zaidi ya hili,lakini hata huyo utakayemuona wewe ni zaidi kuna wa zaidi yake yeye na huenda hayupo tz, sasa je tutafute dunia nzima ili tuwapate wenye matatizo ya kuzidi wengine ndio wasaidiwe..... jibu hapana msaidie yule aliyekugusa kulingana na maono yako na kama kulipwa utalipwa kulingana na ulichojitolea na si ulimsaidia nani ........ na wale wengine nao watasaidiwa hao wengine)