Msanii Ray C azidiwa na Madawa ya Kulevya; asaidiwa na Polisi

huyu dada mimi nahisi kama pamoja na madawa ila kuna mkono wa mtu
 

Kweli Chid nae lazima atarudia ni pale atakapo toa nyimbo akazani zitashika kama zamani kumbe wapi stress zitaanzia hapo
 
yaani promo yote mpaka Magogoni kipindi kile...ilikuwa kazi bure?
======
JF moderators baada ya kuondoa uzi ule wa madawa kwenye list ya sticky jukwaa la siasa nilijua tatizo limekwisha nchini. Nadhani kuna haja ya kuurudisha uzi huo mahali pake. vita bado.
 
Kuna watu wanachezea sana machozi yao.

Hata hivyo, Ray C ana Mapepo.

Anaweza kusaidiwa KIROHO TU na si vinginevyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…