Zuchu asizubae, wakati wake ndio huu...akianza 'kujitegemea' na yeye..she will be treated the same way as Rayvanny didVanny kasepa wasafi mda Sana , mwaka umepita sasa , na kaondoka kiroho safi tuuu, zilizofanyika ni hatuna tuu ili isilete mzozo, hyo ya kutopata support kama wasanii wengine ni lazima iwepo mana siyo part of the family , mtoto akijitegemea mzazi hawezi mhangaikia Sawa Sawa na watoto wengine waliopo home ....!!
inakuja kuwaHalafu yanaendaje? 🤣😊
Sisi wafuasi wao burudaniiii 🤣😊Ikitokea Vanny akaondoka WCB, Mmakonde ( Harmonize) ataforce ukaribu na Vanny ..ili wasapotiane ...na hawa watu waki click tuu Huko WCB watapata pressure kubwa sana..
Yeah ,sisi kwetu itakua burudani tuu ,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sisi wafuasi wao burudaniiii [emoji1787][emoji4]
Hao watoto wa mond, ndo wana posibility ya kukaa muda mrefu hapo WCB ...coz hata ukiwangalia unaona kabisa hawana hata lengo la kufungua LebalStar pale anabaki Mboso na Zuchu.Hongera Mondi kwa kukuza.
Exactly, Unasainishwa Mkataba Wa Miaka 10 Mgawanyo Wa Faida Ni 70% Kwa Kampuni 30% Kwa Msanii [emoji4]Nahisi sababu mingi iko kinyonyaji [emoji4]
Asante kwa taarifaNi vyema pia
😂😂😂😂Asante kwa taarifa
Lavalava sijawahi kumwelewa...yupoyupo tuAcha Aondoke ,game ichangamke .....baada ya Vanny atayefuatia ni Lavalava .....siku hz ana ukaribu sana na bob junior ,afu pia hata label yake haimzingatii kabisa
Hapana ni 60/40 ... Ni fair ratio , sema Sisi wabongo ukishaanza kuingiza unaona kama boss anazingua , anakunyonya , hujui pesa alizowekeza mpak anakufikisha hapo, make alikuwa anacheza kamali , tushukru umetusua habari gani kama ungeflop.. hasara ingemwangukia Nan....!!!Exactly, Unasainishwa Mkataba Wa Miaka 10 Mgawanyo Wa Faida Ni 70% Kwa Kampuni 30% Kwa Msanii [emoji4]
Sure jamaa hajiongezi kabisa ....yan yuko label kubwa lakini kina Jay melody na Ibra wa konde gang wanamkimbizaLavalava sijawahi kumwelewa...yupoyupo tu
SawaMtu ukiondoka kiusalama tu basi ..
Usidhani ukiondoka na mabifu sio fresh .
Jamaa mbona anatoa hit na zinaenda sana kama vile Gogaga, Niuwe, Anatosha, kilio, Dede, na ile Bora tuachane mbona zilienda sana wazee mitaani zilipigwa kama mbege ya mmarango vipi nyie huko kwenu hamkucheza Gogaga?Sure jamaa hajiongezi kabisa ....yan yuko label kubwa lakini kina Jay melody na Ibra wa konde gang wanamkimbiza