scopion de moon
Member
- Sep 2, 2021
- 17
- 10
Lavalav Hana uhakika na kaz anayoifanyJamaa mbona anatoa hit na zinaenda sana kama vile Gogaga, Niuwe, Anatosha, kilio, Dede, na ile Bora tuachane mbona zilienda sana wazee mitaani zilipigwa kama mbege ya mmarango vipi nyie huko kwenu hamkucheza Gogaga?
Fafanua vzur ndgLavalav Hana uhakika na kaz anayoifany
Beki wa kushoto wa Azam FcNdio nani huyu???
Hata kwa Hamonize mlisema hivyo hivyoTanzania jiandae kumpokea rich mavoko mwingine soon and possible
Ruge hamkumtetea hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapana ni 60/40 ... Ni fair ratio , sema Sisi wabongo ukishaanza kuingiza unaona kama boss anazingua , anakunyonya , hujui pesa alizowekeza mpak anakufikisha hapo, make alikuwa anacheza kamali , tushukru umetusua habari gani kama ungeflop.. hasara ingemwangukia Nan....!!!
Naona anatafuta kupotea kabsa kwenye ramani.
Hana uwezo wa kuhimili mikiki ya Muziki akiwa peke yake.
Hakuna kitu kama hichoIkitokea Vanny akaondoka WCB, Mmakonde ( Harmonize) ataforce ukaribu na Vanny ..ili wasapotiane ...na hawa watu waki click tuu Huko WCB watapata pressure kubwa sana..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tanzania jiandae kumpokea rich mavoko mwingine soon and possible
Mbona konde boy kawezaNaona anatafuta kupotea kabsa kwenye ramani.
Hana uwezo wa kuhimili mikiki ya Muziki akiwa peke yake.
Swali la kipuuzi sana hiliNdio nani huyu???
Mdogo wangu ,haya ni maono ...yanahitaji Uwezo mkubwa wa kiakili kuyaonaHakuna kitu kama hicho
Ndiyo maana baba levo alitumwa aanze kum-attack rayvanburudani iendelee
Kam attack lini?Ndiyo maana baba levo alitumwa aanze kum-attack rayvan
Ruge hakuweka hata shilingi kumi kwa Mondi, Mondi akiendaga THT akafukuzwa na kuambiwa hajui kuimba, aliyewekeza hela yake ni papa Misifa na Mondi alipofunja mkataba kwa mujibu wa Papa Misifa alimlipa 50mil kama faini ya kuvunja mkataba.Ruge hamkumtetea hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Exactly, internationally Rayvanny ana connections za maana.Rayvanny ni msanii mkali kwa alipofikia ameshetengeneza connection nying nyingn ambazo hata boss wake mwenyew hajawai kuziota