Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Vanessa Mdee alishawahi kulalamika kuwa wasanii wa kike ni ngumu mno kutoboa kutokana na vikwazo wanavyokutana navyo kwenye tasnia ya muziki. Imagine mtu kama Lina Sanga kuna yule binti anaitwa Pipi alikuwa na sauti nzuri sans lakini aliacha kuimba. Hata Angela wa Harmonize figisu ni nyingi kwa mabinti. Vanessa hataki tena kusikia habari ya muziki wa bongo na alikuwa na talent kubwa.
Kwani uchi Ni Jambo la kumnyima mwanaume?
 
NilIkaa siku Moja sehemu Kuna kaka ni jirani Yao na Ruby alikua anamuongelea,yule demu ni jeuri pro max ,dharau za kihaya zile pale zimelala na kuamka ,kibri na jeuri Hana mfano yaani,halafu hajali Wala Nini
Sishangai Kwa hili lililomkuta
Uliona Ile interview Kama vile haelewani na mama yake
 
Mama mtumishi jisexishe tajiri aongeze fungu la kumi
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png

Kuwa mwanamke wa “mithali”
Mwanamke wa mithali ss ni tofauti,ye hajisexishi😅😅

Sie hatuna makuu Kila kitu tunasema , ndiyo baba.....
Mambo mengine inside hatuonneshi hadharani,au humsikilizi,Rose shaboka wewe🤣🏃🏃🏃
 
Back
Top Bottom