Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Hili tulimalize kimya kimya likija hadharani huku itakua noma[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jomoniii
Kesho kkkt mpendwaa
Halafu mi sio wa kukufanya hivyo Countrywide inasemekana ushanitumia Hela,[emoji1787][emoji1787]
Six packs basi tena?[emoji23][emoji23][emoji23]
Maboss waheshimiwe na vibunda vyao
[emoji23][emoji23][emoji23]Hii lazima nikachekee chooni!![emoji23][emoji23][emoji23]
Rubby aombwe k na Majay akatae thubutu!!
Na inawezekana alimpa sema Majay kagoma kuirudia kaikuta haina maajabu
Kwani uchi Ni Jambo la kumnyima mwanaume?Vanessa Mdee alishawahi kulalamika kuwa wasanii wa kike ni ngumu mno kutoboa kutokana na vikwazo wanavyokutana navyo kwenye tasnia ya muziki. Imagine mtu kama Lina Sanga kuna yule binti anaitwa Pipi alikuwa na sauti nzuri sans lakini aliacha kuimba. Hata Angela wa Harmonize figisu ni nyingi kwa mabinti. Vanessa hataki tena kusikia habari ya muziki wa bongo na alikuwa na talent kubwa.
Uliona Ile interview Kama vile haelewani na mama yakeNilIkaa siku Moja sehemu Kuna kaka ni jirani Yao na Ruby alikua anamuongelea,yule demu ni jeuri pro max ,dharau za kihaya zile pale zimelala na kuamka ,kibri na jeuri Hana mfano yaani,halafu hajali Wala Nini
Sishangai Kwa hili lililomkuta
Mamy k upo? Upo sawa kabisa au bado una shida?Uliona Ile interview Kama vile haelewani na mama yake
[emoji23][emoji23] karibu sana wewe nafasi yako tutakuwekea
Tayana lazima nifanye hivyo, hana noma mama huyu
Hili tulimalize kimya kimya likija hadharani huku itakua noma[emoji23]
Nipo salama kabisa hofu kwako boss ,tajiri mwenyewe usie na makuu🤣Mama mchungaji nimekumiss sana, are u doing well?
Six packs basi tena?
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka Ka mwehu! Niko sawa bro ake.Mamy k upo? Upo sawa kabisa au bado una shida?
Kaka angu mwenyeweKwani uchi Ni Jambo la kumnyima mwanaume?
Nipo salama kabisa hofu kwako boss ,tajiri mwenyewe usie na makuu[emoji1787]
Kyuti taarifa lazima apate japo kwa kuchelewaKyuti ana taarifa lakini? [emoji23][emoji23]
Muelewane tu, mama mchungaji hana shida kabisa. She's goodMe anipe mgawo tu sina mengi [emoji23][emoji23]
Nipo busy kidogo kuna mambo nafanya hapa, nikimaliza tu chap namuweka sawa. Mama mchungaji ni mtulivu ana vitu vingi sana tunapaswa kuongea, she's my inspirationWahi pm mama mtumishi anakusubiri kaka [emoji23][emoji23]
Mwanamke wa mithali ss ni tofauti,ye hajisexishi😅😅Mama mtumishi jisexishe tajiri aongeze fungu la kumi
Kuwa mwanamke wa “mithali”