Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Hakuna wanazungua au kimekuuma nini.
 

Kwani huyo Ruby ni mzuri?
 
Ilianzia kwa Ruge. Alimsema sana Ruge kila baya alilisema mpk akadai Nandy anapaishwa ili wamzime yeye. Sasa Ruge hayupo kahamia kwa Majjizo

Kweli kuna kitu hakiko sawa kwake. Hivi mie mbona nina ngome kibao kali za Naija na sijawahi kusikiliza radio stations zao hata siku moja. Hana ngoma kali ajipange apitie digital platforms kama kweli ni mkali atatoboa na media zitamtafuta zenyewe
 
Majibu ya mdogo wako yameanza🤣🤣🤣🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20230916-165919.jpg
    44.1 KB · Views: 2
Sishangai majizo kumtongoza, nachoshangaa ni yeye kutokuwa straight forward na kusema NO ila inaonekana kama alikua anamzungusha zungusha hivi inawezekana hiki ndio kilimpa majizo matumaini ya sikumoja kuja kula tunda la ruby. Mwanamke ukitongozwa kama hutaki sema NO sio ngoja ntakujibu, mara subiri kidogo etc.
 
Alikuwa anataka kumchuna ampelekee Kusah Hela🤣🤣🤣 Majay akastuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…