mabutu1835
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 909
- 1,425
Tangazo analotaja kilo wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna wanazungua au kimekuuma nini.Ila kuna jambo halipo sawa kwa huyu Ruby.
Nahisi huwa ana namna ya kuaminisha wanaume wanaomzunguka kuwa anataka kupigwa dudu halafu akiombwa papuchi anabadilika.
Haingii akilini kila siku ni yeye tu anaeombwa uchi huku akidai hataki kuutoa.
Huyu demu ana mdomo mno mpaka kuathiri kipaji chake. Kila anaekuwa karibu nae kumsaidia huishia kumsemea mbovu.
Mkuu ruge kagombana na wengi.Ruge
Sitaki ujingawe kusa kumuweza? 😆 😆 😆 😆 😆
Haka kaRubby kenyewe kutwa kugombana na wamiliki wa Media.
Alianza kukorofishana na Ruge na sasa Majizo.
Ila napenda sana spirit yake ya kutonyenyekea pale anapoona kuna njama za kumlaghai na kumkandamiza.
Bahati mbaya sana Bongo, usipotoa kitu hupati kitu.
Ilianzia kwa Ruge. Alimsema sana Ruge kila baya alilisema mpk akadai Nandy anapaishwa ili wamzime yeye. Sasa Ruge hayupo kahamia kwa MajjizoIla kuna jambo halipo sawa kwa huyu Ruby.
Nahisi huwa ana namna ya kuaminisha wanaume wanaomzunguka kuwa anataka kupigwa dudu halafu akiombwa papuchi anabadilika.
Haingii akilini kila siku ni yeye tu anaeombwa uchi huku akidai hataki kuutoa.
Huyu demu ana mdomo mno mpaka kuathiri kipaji chake. Kila anaekuwa karibu nae kumsaidia huishia kumsemea mbovu.
OkHakuna wanazungua au kimekuuma nini.
Majibu ya mdogo wako yameanza🤣🤣🤣🤣Majuto ni mjukuu... Uenda Ruby alishindwa kumshikilia majizo kwa sababu labda kwa kipindi hicho hakuona future yoyote kwa majizoo... Wakawake mnatabia moja, mtu akiwa hana future kwa wakati huo mnamuonaga fala tu, mambo yakitiki mnaanza kumpaparukia, unakuta Lulu yeye aliamua kuwa mvumilivu.
Alafu ukicheki hili povu la Lulu limetoka kipindi Majizzo ametoka kuzindua Studio mpya... Ina maana Ruby kuna ka Wivu kameanza kuingia, kuona dhahabu inang'aa baada ya yeye kuchengana nayo [emoji23]
Ni Kweli.Inaonekana ana msongo wa mawazo
Alikuwa anataka kumchuna ampelekee Kusah Hela🤣🤣🤣 Majay akastukaSishangai majizo kumtongoza, nachoshangaa ni yeye kutokuwa straight forward na kusema NO ila inaonekana kama alikua anamzungusha zungusha hivi inawezekana hiki ndio kilimpa majizo matumaini ya sikumoja kuja kula tunda la ruby. Mwanamke ukitongozwa kama hutaki sema NO sio ngoja ntakujibu, mara subiri kidogo etc.
Linanichanganya😂Walilikosea bana ,ni WOG
🤝🤝🤭😅
😂😂Usiiachie nafasi hiyo hakikisha mama mtumishi hachomoki hapo [emoji23]
Don't worry mamaAll the time boss...sie wengine bana ndo wale tunaosaidiwa na MUNGU
🤣
Huu upambe hauna kitu huu😂😂Nendeni pm hapa wanga wengi
Make sure mgawo naupata kwa wakati [emoji7]
SafiNimekuelewa Kaka Mkubwa, sa hivi nimekua.
Ukiwa free please let me knowNgoja kwanza nimalize huduma huku
Kuanzia j3 nakuwa freee
Tunajua pesa unazo cha kufanya mjaze mapesa ili akuonyeshe na vingine alivyoficha [emoji1787]