Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Mimi Binafsi imenishangaza kuona Boss ananyimwa mzigo. Siku zote tumekuwa tukiamini ukiwa na pesa. Unapatiwa Mzigo fresh, ila kwa Majizzo nimeona pesa si kila kitu. Kuna mabinti ambao bado wanajielewa
Mimi kinachonishangaza ni imekuaje ameomba mzigo wa rubby sio wa kajala, the guy could literally f*uck any beautiful woman in Dar
 
Andika kifupi:Aache mdomo mrefu......mtu gani alimchamba Hadi bibi wa mjukuu wake,!alikuwa na sababu gani za kumchamba mama yake Kusah?huyu anachambachamba watu hovyo hiyo itamcost........
Mjaa asili haachi asili 😁😁, Ila ajicontrol kidogo
 
Very True kabisa... Ndio maana wanawake wachache sana wanaoweza kudumu kwenye Muziki.... Zuchu mwenyewe kila siku kutoa mchezo kwa Diamond.
Alishasema lady jay dee kuwa bongo flava bila kutoa mchezo ni ngumu kwa binti kutoboa.
 
Msanii Ruby ambae siku ya Leo ameenda live Instagram ameonesha kuchukizwa na kutoa ya moyoni dhidi ya Boss wa EFM na ETV anayefahamika kama Fransic Siza a.k.a Majizzo au Majay.

Msanii huyo wa kizazi kipya ametoa kauli ya kutakwa kimapenzi na Boss huyo ambae kwa sasa ameoa mke "Elizabeth Michael".

Kitu ambacho kimeshangaza wengi kwa namna ambayo majizo amekuwa akionekana mbele za umma, kumbe nyuma ya pazia amekuwa akiwaomba rushwa ya ngono ili awapatie support.

Dakika 17 za Mapovu yote ya Rubby
View attachment 2750841
Mtu kuomgea kwanza haimfanyi kuwa mkweli, na haimaanishi ambaye hajaongea kweli katenda kosa.
 
Ilianzia kwa Ruge. Alimsema sana Ruge kila baya alilisema mpk akadai Nandy anapaishwa ili wamzime yeye. Sasa Ruge hayupo kahamia kwa Majjizo

Kweli kuna kitu hakiko sawa kwake. Hivi mie mbona nina ngome kibao kali za Naija na sijawahi kusikiliza radio stations zao hata siku moja. Hana ngoma kali ajipange apitie digital platforms kama kweli ni mkali atatoboa na media zitamtafuta zenyewe

Ruby tatizo ni moja, hajui kuandika FULL STOP.

Angekuwa kama SIMI wa naina maana kaachana na management yake lakini bado ni muandishi na producer mkali ndio maana hata kama ameshuka lakini bado anafanya vizuri kwa kutengeneza hits kama duduke.

Ruby ukitoa sauti exceptional, hana uandishi Kabsaa ndio maana kipindi yupo na kusah ambaye ni mtunzi mzuri, licha ya kukosa media support Ila alitoa hits kama ntade, dakika moja, alele, nandondosha etc.
Alipoachana nae ndio hivyo hadi leo hana hit kubwa, Ruby angekaa vizuri na waandishi ingekuwa story ingine muda huu
 
Yeye alimpa nani?

Unanifanya niwe mdaku 😁😁
Watu walimshukia kuwa hata yeye kuna rumours kuwa kwenye tuzo za Kora kwa madiba, alilala hotel room moja na ruge.
Japo watu kama Ray C washatoka mbele na kukiri kutoka na jamaa so, kuna kaukweli
 
Unanifanya niwe mdaku 😁😁
Watu walimshukia kuwa hata yeye kuna rumours kuwa kwenye tuzo za Kora kwa madiba, alilala hotel room moja na ruge.
Japo watu kama Ray C washatoka mbele na kukiri kutoka na jamaa so, kuna kaukweli
Hii ya Kora nakumbuka tena South Africa 🤣
 
Hii ya Kora nakumbuka tena South Africa 🤣
Kumbe unakumbuka Ila unajizima data 😁😁

Ruby kiukweli inaonekana hataki kabisa kujirahisisha na issue ya nandy kuwa replacement ilikuwa wazi. Ndio maana nyimbo za kwanza za nandy alikuwa anasound kama Ruby

Hata yule buibui nae alipigwa pini, Barnaba akapewa chance

Mwasiti na vumilia, yaani huu mziki ni kichwa ngumu
 
Back
Top Bottom