Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi niko hapa na watu wa kijijini kwetu nao wameshangaa sana baada ya kuona hii video ya huyu dada. Kesho tutafanya tambiko kwa sababu sio hali ya kawaida.Mimi Binafsi imenishangaza kuona Boss ananyimwa mzigo. Siku zote tumekuwa tukiamini ukiwa na pesa. Unapatiwa Mzigo fresh, ila kwa Majizzo nimeona pesa si kila kitu. Kuna mabinti ambao bado wanajielewa
Wanaume hawajuagi wanataka nini ndiyo maana unakuta kichaa ana mimbaMbona majizo ana demu pisi kali lulu, inakuaje tena atake mzigo kwa ruby, au ndiyo ile kuwa na hela ndiyo utake kupitia kila pisi kali inayokatiza mbele zako?
Pipi anaroho mbaya sana yule msichana alininyima tamuu kinyume na katiba ya nchi .iliniuma sanaVanessa Mdee alishawahi kulalamika kuwa wasanii wa kike ni ngumu mno kutoboa kutokana na vikwazo wanavyokutana navyo kwenye tasnia ya muziki. Imagine mtu kama Lina Sanga kuna yule binti anaitwa Pipi alikuwa na sauti nzuri sans lakini aliacha kuimba. Hata Angela wa Harmonize figisu ni nyingi kwa mabinti. Vanessa hataki tena kusikia habari ya muziki wa bongo na alikuwa na talent kubwa.
Ungemuomba Shishi kwani lazima Pipi jamaniPipi anaroho mbaya sana yule msichana alininyima tamuu kinyume na katiba ya nchi .iliniuma sana
Hiyo Spirit ndiyo Ajenda kubwa ya kuiangalia.Haka kaRubby kenyewe kutwa kugombana na wamiliki wa Media.
Alianza kukorofishana na Ruge na sasa Majizo.
Ila napenda sana spirit yake ya kutonyenyekea pale anapoona kuna njama za kumlaghai na kumkandamiza.
Bahati mbaya sana Bongo, usipotoa kitu hupati kitu.
Kiongozi heshimu maumivu ya wapiga kuraUngemuomba Shishi kwani lazima Pipi jamani
Msanii Ruby ambae siku ya Leo ameenda live Instagram ameoneshwa kuchukizwa na kutoa ya moyoni dhidi ya Boss wa EFM na ETV anayefahamika kama Fransic Siza a.k.a Majizzo au Majay.
Msanii huyo wa kizazi kipya ametoa kauli ya kutakwa kimapenzi na Boss huyo ambae kwa sasa ameoa mke "Elizabeth Michael".
Kitu ambacho kimeshangaza wengi kwa namna ambayo majizo amekuwa akionekana mbele za umma, kumbe nyuma ya pazia amekuwa akiwaomba rushwa ya ngono ili awapatie support.
Dakika 17 za Mapovu yote ya Rubby
View: https://youtu.be/gXtYhsGOQcM
Msanii Ruby ambae siku ya Leo ameenda live Instagram ameoneshwa kuchukizwa na kutoa ya moyoni dhidi ya Boss wa EFM na ETV anayefahamika kama Fransic Siza a.k.a Majizzo au Majay.
Msanii huyo wa kizazi kipya ametoa kauli ya kutakwa kimapenzi na Boss huyo ambae kwa sasa ameoa mke "Elizabeth Michael".
Kitu ambacho kimeshangaza wengi kwa namna ambayo majizo amekuwa akionekana mbele za umma, kumbe nyuma ya pazia amekuwa akiwaomba rushwa ya ngono ili awapatie support.
Dakika 17 za Mapovu yote ya Rubby
View: https://youtu.be/gXtYhsGOQcM
Bila kupepesa macho RUBY ni TATIZOIla kuna jambo halipo sawa kwa huyu Ruby.
Nahisi huwa ana namna ya kuaminisha wanaume wanaomzunguka kuwa anataka kupigwa dudu halafu akiombwa papuchi anabadilika.
Haingii akilini kila siku ni yeye tu anaeombwa uchi huku akidai hataki kuutoa.
Huyu demu ana mdomo mno mpaka kauthiri kipaji chake. Kila anaekuwa karibu nae kumsaidia huishia kumsemea mbovu.
Sisi wanaume ndio tunaoomba mzigo, tusiwalaumu wao... Siku sisi wanaume tukiacha kutengeneza rushwa za ngono, hawa viumbe hawatakuwa hivi walivyoOhoo mpaka Majizzo nae kauomba mkopo wa sukari wa Ruby. Ila wasanii wa kike kutoboa ni kazi.Hapo kwenye mziki njoo huku maofisini,ndio hatari wenye misimamo unawatafuta kwa tochi.
Ni sahihi.Ngoja kwanza, ruby ndio huyo kwenye picha hapo 🤔🤔 mbona kama ni kabaya Sana hivi 🤔 au anatafuta njia watu wamuongelee kwa lazima 🤔🤔