TANZIA Msanii Sajuki afariki dunia

TANZIA Msanii Sajuki afariki dunia

Poleni sana wafiwa,but Elizabeth what do you mean by this?kuna mwingine tena alikukufa baada yakufanya interview Mikasi jamani nieleweshe mwaya.....
Don't read too much into it, was just wondering sababu shortly after they were interviewed Kanumba na Lulu yaliwakuta ya kuwakuta
 
Huyu Jamaa Daktari alimshauri apumzike kwa miaka 2 bila kufanya kazi yoyote lkn sijajuwa ni kwa nn mara nikawa namwona majukwaaani mara mwongoza sherehe mahojiano mikasi nk. haya hayo yamepita tunakuombea huko uendako
 
NI kweli wadau sajuki ambaye jina lake halisi ni juma kilowoko amefariki dunia.
mungu amlaze mahali panapostahili!
 
Sajuki atapokelewa na mungu wake kama alivyoishi na si sisi tumpangie mungu amweke wapi
 
the destiny of all creatures with flesh and blood! rip sajuki!
 
human being inevitably die!!!!! RIP
 
Back
Top Bottom