GLORY TO GOD
Member
- Oct 15, 2012
- 45
- 12
Sasa nyie
mnaobonyeza "like" ina maana hiyo habari inafurahisha? Watu wengine
mnashangaza sana. Mnaletewa habari ya kifo, then mna bonyeza "I like
this". What exactly do you like about the death of this young man.
R.I.P, Sajuki.
eeeeeh we ndugu mbona unapenda kushushua shua wadau wenzako?na c mara1 kuliona hili jambo kutuc au kuumbua comment na post za wengine?
uliza basi jamani kwa nn mme like?watakupa sababu,kwa upeo wk utaic wame like kifo,ila huenda wame like kufkishiwa habari,
JIREKEBISHE BWANA WE ARE DE SAME 2KIWA JF HAMNA UKUBWA WA UMRI KIASI CHA KUFOKEANA NA SEMA HAYA COZ C MARA YA KWANZA KUONA NISHAKUONA KTK MAJUKWAA MENGI YA MAPENZI UNAVO2C.