Msanii Shilole ampiga makofi Nuhu Mziwanda ambaye ni mchumba wake

Teh Teh pididy ni mwanafunzi wa PhD University of Dares-salaam!
 
Last edited by a moderator:
achen kunnga mambo ya grama mleta mada amefikisha ujumbe kwa tukio lililotokea ambao wengine tulikua hatulijui so big up!!!
 
uyo mziwanda f*...a...*l* tu kuna cku alikua anahojiwa clauds fm kwa jinc nilivomckia jamaa kafa kaoza et kajichora tatoo mkononi ya jina la dem wake
 
kumbe ni wewe Pdidy....
 
Last edited by a moderator:
Teh Teh
 

Attachments

  • 1422427180888.jpg
    37 KB · Views: 7,638

Attachments

  • IMG_16177083592213.jpeg
    32.7 KB · Views: 472
Last edited by a moderator:
Huu uzi una harufu kali ya bangi na mirungu... Kova na Nzowa piteni huku mpitieni na Ray C.
 
Nuhu na badooo utakula vitasa mpaka uhandsome uisheee

Na apigwe tuuu, size zake za kucheza kibaba baba mbona zipooo? Ukiwa dereva wa malori usiogope ajali atiiii...

Mahaba nikung"ute hadi nirudi kwetuuu
 
Na apigwe tuuu, size zake za kucheza kibaba baba mbona zipooo? Ukiwa dereva wa malori usiogope ajali atiiii...

Mahaba nikung"ute hadi nirudi kwetuuu

Haaahaaaaaa mahaba niueee unidunde utakavyoo sikuachi ng'oooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…