Msanii Shilole ampiga makofi Nuhu Mziwanda ambaye ni mchumba wake

Msanii Shilole ampiga makofi Nuhu Mziwanda ambaye ni mchumba wake

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
attachment.php


Haya ni mapenzi au utumwa,huyu binti bila aibu katika Tamasha la ''Tigo Kiboko Yao'' Jumamosi alimchapa makofi anayemwita mumewe mtarajiwa kisa amegoma kwenda nae.

Ilifika muda Shilole akataka kuondoka lakini Mziwanda aka boyfriend wake akamgomea, Bibie akamlabua makofi na kuomba funguo ya gari,kabla ya Steve Nyerere kuwaamulia maana walishaanza kurushiana ngumi.


Sasa ni fundisho mkome kutembea na mama zenu, maisha wamejilia wapi Eda wanamaliza na nyie.Mbaya zaidi akamwamuru ampe funguo haraka sana.

attachment.php
 

Attachments

Hebu tueleze vizuri ilikuwaje...
 
hebu tueleze vizuri ilikuwaje..........

Ilifika muda Shilole akataka kuondoka lakini Mziwanda aka boyfriend wake akamgomea, Bibie akamlabua makofi na kuomba funguo ya gari,kabla ya Steve Nyererre kuwaamulia maana walishaanza kurushiana ngumi.
 
mchanganyo wa kauli taarifa,ripoti,kauli halisi,nukuu,fasihi simulizi,fasihi andishi,....yaani vurugu mechi....hahahha

Hadi umeshindwa kuwekea picha.
 
Ulitaka uwe wa kwanza kuripoti!
Yani conclusion ipo katikati ya stori!!
Ulisoma almadrasa ya wapi?!
 
attachment.php


Hahahaha dogo kakubali kudhalilika,Kutukanwa na ya hii juzi kuzabwa vibao na kupigwa na shilole.Dogo anasingizia Mapenzi ila wengi wanaowajua hawa wanasema Kabisa ni njaa na kutafuta umaarufu Kwa kupitia shilole.

Imefika hatua mpaka anakubali kwenye interview ya ayo tv eti ni mapenzi na kupigwa kwake ni kawaida kwenye mapenzi.
 
vitu vingine vya kawaida sna mtu na boy wake wamezitwanga tatizo nn???? ww au sisi kinatuhusu nn?????

hivi mnafikiliaga nn kwanza
 
Tuache utani. Sasa muda wa kuoa Si tu tunaowapenda mabinti waliotuzidi umri pia.Huyu akiingia ndoani hatosahau kile kibao dahh weraaa mziwandaaaa komaa mpwaaa maliziaa edaa hiyo.
 
aseeh nimecheka mpaka nimeshindwa vumilia humu ndani kuna watu wasipopost kunapoa sana
 
daah this is interesting kwa kwel sijawahi juta pita jamii forum
 
Back
Top Bottom