Latrice
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 2,389
- 2,366
Hakikana yeye yuko kwenye kundi la kuishi kwa akili kama wanawake ?
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakikana yeye yuko kwenye kundi la kuishi kwa akili kama wanawake ?
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Bangi mbaya sana,mbona uchaguzie uliopita Banki ya CRDB hawakusema neno,pale Chadema na Lowasa walipo sema Ulipo tupo.Mpuuzi, hapo sasa kuna ubunifu gani?
Kwa ilivyo anaweza pewa hata ya mwaka juzi watu wa ajabu sanaAnayo hatimiliki?
No hakuna haja ya kumjibu..CDM waondoe hayo maneno.
..hakuna haja ya kuhangaishana na huyo msanii.
Ananikumbusha ule wimbo aliotuzuga kwamba ni wake. Kumbe loh kabadilisha lugha tu, mengineyo ni C&P.Anayo hatimiliki?
No hakuna haja ya kumjibu
Keshasahau!Hivi yeye alipoiba wimbo msumbiji alilipa shilingi ngapi
You have to patent your product, most of us know nothing about the importance of patenting our productsMsanii Khalid Mohamed aka Top In Dar (TID) ameibuka na kutaka chama cha Demokrasia na Maendeleo kimlipe kwa kutumia neno "niyeye" katika kampeni zao. Msanii TID anadai neno "niyeye" ni ubunifu wake
Lakini hata hivyo kwa mujibu wa kifungu cha 5 hadi cha 7 cha Sheria ya Hakimiliki ya mwaka 1999, Copyrights and Neighbouring Act of 1999, "maneno" na "mawazo" ya wasanii si sehemu ya vitu vunavyotakiwa kulindwa chini ya Sheria hiyo.
Sheria hiyo imeweka wazi kuwa inalinda kwa lugha ya kisheria "expressions" and not "ideas".
Ijulikane wazi kuwa wazo linaweza kufanana na la msanii mwingine lakini namna ya kulieleza na kuliwasilisha wazo husika inaweza kuwa tofauti kabisa toka msanii mmoja hadi mwingine. Kwa mfano wasanii wawili wanaweza kuwa na wazo la kuimba wimbo wa mapenzi wa mwanamke masikini kumpenda mwanaume tajiri lakini si rahisi kutumia beat na melody ya aina moja. Wanaweza pia wakajikuta wanatumia baadhi ya maneno sawa kwa mfano katika scenario hiyo neno kama " mapenzi" "nakupenda" etc yanaweza tumiwa na wote lakini kwa namna tofauti.
Hivyo kinacholindwa na sheria ni "expression" yaani ule ufundi na ubunifu wa msanii wa kulielezea jambo na siyo "maneno" anayotumia msanii wala "wazi" la msanii.
Isipokuwa tu maneno husika yawe yamesajiliwa chini ya sheria nyingine mfano kama trades mark au service mark ya bidhaa ya mhusika na anayetumia awe anatumia katika namna inayovunja haki au kuwachanganya wateja wa bidhaa hizo mbili. Jambo ambalo katika mazingira haya halipo.
Kwa vyovyote vile huwezi kusema kutumia kwa neno niyeye kwa CHADEMA achilia mbali tu kwamba halilindwi chini ya copyright laws bali tu hakuna madhara yoyote ya kiuchumi anayoyapata TID na vilevile CHADEMA hawalitumii kujiingizia pesa hivyo ni "fair use".
View attachment 1527556
Huyu namfahamu kabla sijabalehe,nabalehe,naanza kupiga rungu,naoa,napata watoto,nazeeka sasa yeye bado tu kabaki vile vile.Msanii Khalid Mohamed aka Top In Dar (TID) ameibuka na kutaka chama cha Demokrasia na Maendeleo kimlipe kwa kutumia neno "niyeye" katika kampeni zao. Msanii TID anadai neno "niyeye" ni ubunifu wake
Lakini hata hivyo kwa mujibu wa kifungu cha 5 hadi cha 7 cha Sheria ya Hakimiliki ya mwaka 1999, Copyrights and Neighbouring Act of 1999, "maneno" na "mawazo" ya wasanii si sehemu ya vitu vunavyotakiwa kulindwa chini ya Sheria hiyo.
Sheria hiyo imeweka wazi kuwa inalinda kwa lugha ya kisheria "expressions" and not "ideas".
Ijulikane wazi kuwa wazo linaweza kufanana na la msanii mwingine lakini namna ya kulieleza na kuliwasilisha wazo husika inaweza kuwa tofauti kabisa toka msanii mmoja hadi mwingine. Kwa mfano wasanii wawili wanaweza kuwa na wazo la kuimba wimbo wa mapenzi wa mwanamke masikini kumpenda mwanaume tajiri lakini si rahisi kutumia beat na melody ya aina moja. Wanaweza pia wakajikuta wanatumia baadhi ya maneno sawa kwa mfano katika scenario hiyo neno kama " mapenzi" "nakupenda" etc yanaweza tumiwa na wote lakini kwa namna tofauti.
Hivyo kinacholindwa na sheria ni "expression" yaani ule ufundi na ubunifu wa msanii wa kulielezea jambo na siyo "maneno" anayotumia msanii wala "wazi" la msanii.
Isipokuwa tu maneno husika yawe yamesajiliwa chini ya sheria nyingine mfano kama trades mark au service mark ya bidhaa ya mhusika na anayetumia awe anatumia katika namna inayovunja haki au kuwachanganya wateja wa bidhaa hizo mbili. Jambo ambalo katika mazingira haya halipo.
Kwa vyovyote vile huwezi kusema kutumia kwa neno niyeye kwa CHADEMA achilia mbali tu kwamba halilindwi chini ya copyright laws bali tu hakuna madhara yoyote ya kiuchumi anayoyapata TID na vilevile CHADEMA hawalitumii kujiingizia pesa hivyo ni "fair use".
View attachment 1527556
Wewe acha hizo.Hilo Ni Yeye ni maneno mawili yakiswahili yanayotumika kwenye jamii kwa matumizi ya kawaida na hayana uhusiano wowote na jina au nembo yoyote.Na isitoshe uyo jamaa kazaliwa kakikuta kiswahili kilishakuwepo na hayo maneno sasa hapo katunga au kabuni nini.na aliyetunga hayo maneno naye asemeje.Yeye mwenyewe katumia maneno ya kiswahili mangapi kwenye nyimbo zake, je kuna yeyote aliyemsumbua.Aya yeye anajiita Top in Dar, je ilo neno Dar ni yeye ndo alilibuni au alilikuta tu kwenye jamii.Achana na neno Dar kuna nyimbo yake inaitwa Zeze, je ilo neno ni yeye ndo alilibuni au alilikuta tu, na alilitumia hilo neno kibiashara nani alikuja kumsema.Haki miliki haiko ivyo aise.Ni neno la kawaida ndio kwani diamond platnumz sio jina la kawaida ya kaisali mpeni kaisali TID ndo amelifanya ilo neno kuvuma kwakipindi hiki na kwasababu yeye ni msanii imekuwa rahisi kupenya kwa watu..
amesajili?Msanii Khalid Mohamed aka Top In Dar (TID) ameibuka na kutaka chama cha Demokrasia na Maendeleo kimlipe kwa kutumia neno "niyeye" katika kampeni zao. Msanii TID anadai neno "niyeye" ni ubunifu wake
Lakini hata hivyo kwa mujibu wa kifungu cha 5 hadi cha 7 cha Sheria ya Hakimiliki ya mwaka 1999, Copyrights and Neighbouring Act of 1999, "maneno" na "mawazo" ya wasanii si sehemu ya vitu vunavyotakiwa kulindwa chini ya Sheria hiyo.
Sheria hiyo imeweka wazi kuwa inalinda kwa lugha ya kisheria "expressions" and not "ideas".
Ijulikane wazi kuwa wazo linaweza kufanana na la msanii mwingine lakini namna ya kulieleza na kuliwasilisha wazo husika inaweza kuwa tofauti kabisa toka msanii mmoja hadi mwingine. Kwa mfano wasanii wawili wanaweza kuwa na wazo la kuimba wimbo wa mapenzi wa mwanamke masikini kumpenda mwanaume tajiri lakini si rahisi kutumia beat na melody ya aina moja. Wanaweza pia wakajikuta wanatumia baadhi ya maneno sawa kwa mfano katika scenario hiyo neno kama " mapenzi" "nakupenda" etc yanaweza tumiwa na wote lakini kwa namna tofauti.
Hivyo kinacholindwa na sheria ni "expression" yaani ule ufundi na ubunifu wa msanii wa kulielezea jambo na siyo "maneno" anayotumia msanii wala "wazi" la msanii.
Isipokuwa tu maneno husika yawe yamesajiliwa chini ya sheria nyingine mfano kama trades mark au service mark ya bidhaa ya mhusika na anayetumia awe anatumia katika namna inayovunja haki au kuwachanganya wateja wa bidhaa hizo mbili. Jambo ambalo katika mazingira haya halipo.
Kwa vyovyote vile huwezi kusema kutumia kwa neno niyeye kwa CHADEMA achilia mbali tu kwamba halilindwi chini ya copyright laws bali tu hakuna madhara yoyote ya kiuchumi anayoyapata TID na vilevile CHADEMA hawalitumii kujiingizia pesa hivyo ni "fair use".
View attachment 1527556