Msanii wa bongo fleva na mwana JF BEIRA BOY Anawatakia kheri ya krismas na mwaka mpya

Hapana mkuu usiseme hivyo kuna watu kama akina maneno wanasimamia wasanii wakubwa lakin hawawez kujisimamia wenyewe

Alikiba anajisimamia mwenyewe lakin kashindwa kumsimamia mdogo wake abdu kiba


Nimekuelewa ila nakuuliza, ulishawahi ona mtu asiyejitambua akasimamia wengine?
 
Dogo unampango gani baada ya kufeli shule??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…