Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Hapana mkuu usiseme hivyo kuna watu kama akina maneno wanasimamia wasanii wakubwa lakin hawawez kujisimamia wenyewe
Alikiba anajisimamia mwenyewe lakin kashindwa kumsimamia mdogo wake abdu kiba
Nimekuelewa ila nakuuliza, ulishawahi ona mtu asiyejitambua akasimamia wengine?