Ray Mastereo
Member
- Jul 31, 2020
- 16
- 23
Makada wa CCM hawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makada wa CCM hawa
Yaani upo Kama Mimi, daladala huwa sipandi, na ikitokea nimepanda huwa dereva lazima anipishe seat niendeshe mwenyeweBoda Boda sipandi na ikitokea nimepanda huwa dereva anakaa nyuma "naendesha mwenyewe" Hutaki Basi.
Hahahahaha nmecheka sanaNafikiri na wewe unaingia humo humo
Wasup home boyyyAfee kabisa
Wewe unaishi dar kweli usiniambie hujui foleni za huu mji kama umeitiwa deal ya haraka hakuna option zaidi ya Toyo
Ukija unijie na sukari na mkate nusu...Yaani upo Kama Mimi, daladala huwa sipandi, na ikitokea nimepanda huwa dereva lazima anipishe seat niendeshe mwenyewe
didnt know if he is a kada i can see you hate ccm from the bottom of your heartLiving in this earth is a death sentence,tofauti ni tarehe tu za kufa!
Plus,he is a CCM dick sucking motherfvcker,die nigga,die!
Just like the rest of us!
Mie naendeleza tu utani uliouanzisha wewe mkuu.Ukija unijie na sukari na mkate nusu...
didnt know if he is a kada i can see you hate ccm from the bottom of your heart
Alikuwa anawawahi wenzk waende dodomadidnt know if he is a kada i can see you hate ccm from the bottom of your heart
Mo mwenyew anapandaga bodaboda.uskariri wew...mi mwenyew kuna muda huwa napanda bodabodaMsanii mkubwa anatembea na bodaboda? ALishindwa kuita Ubber? Pole kwake ,Bodaboda sio usafiri salama kwa mijini.
Bodaboda haikwepi kwa mjini kama unawahi mahaliMsanii mkubwa anatembea na bodaboda? ALishindwa kuita Ubber? Pole kwake ,Bodaboda sio usafiri salama kwa mijini.
Mwaka gani ilikuwa? Pale baruti nimewahi ishiMnaongea tu nyie hamjui Haraka,na kingne ajali hata uwe umekaa nyumban utapata ajali tu mazee,kuna jamaa alikuwa mshona viatu kimara barut kakaa tu pemben ya barabara contena la lori likamuangukia,jamaa miguu yote ikapooza,ajali haina kinga hata angekuwa na gar usikute angepata ajali TUACHENI KUTOA LAWAMA et msanii kubwa kapanda boda boda
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Inapeleka iliembeba kwanzaa wewe Utafatwa na Ambulance nyinginee...!!Namtakia apone haraka.
Hivi ukigongwa na ambulance hapo inakuwaje? Ambulance inakuchukua na kukukimbiza hospitali?
Boda boda hatari sana.. roho mkonono.. juzi hapo hapo magomeni boda boda kagongwa na mwendokasi kafa
Ushauri tusipende sana kupanda boda boda kila mara..
Mke Wanangu ndio nishapiga marufuku ya Herufi kubwa kupanda Bajaji + boda boda
Tangu nishuhudie vile vibajaji vya njano vya manzese kimoja kimefinywa kimekua chapati
dereva mpk abria wake hamna alieweza omba hata maji,kibajaji cha njano ila kiligeuka kikawa RED
Kama mtu kaenda kuibadlisha rangi,pale ndio nikajua kumbe tuna risk sana haya maisha yetu kwa kujitia tuna haraka.
Mke Wanangu ndio nishapiga marufuku ya Herufi kubwa kupanda Bajaji + boda boda
Tangu nishuhudie vile vibajaji vya njano vya manzese kimoja kimefinywa kimekua chapati
dereva mpk abria wake hamna alieweza omba hata maji,kibajaji cha njano ila kiligeuka kikawa RED
Kama mtu kaenda kuibadlisha rangi,pale ndio nikajua kumbe tuna risk sana haya maisha yetu kwa kujitia tuna haraka.