Dude)-"Oya oya Kiss-Kiss wewe sister Aunty...
Nini unababaika babaika na msanii,Wasanii bongo..??
Njoo ujivinjari na sisi watu wenye mafedha,Pesa, Mali tutakupa goodtime, debe unaruka, mvinyo utapa vile vile..:
Asali Moyo) -Ee samahani kaka,pesa ni zako na mali ni zako dharau zako huko huko,
Nachohitaji ni Mapenzi ya Kweli,na kama nimekuudhi Sorry kwaheri.
Dude)- Ishia Wewe sholi gani kwanza nishakuthaminisha hulipi wala nini,piga bunda..!
Insepcta)- Tazama Maneno ya Wakosaji Washatoswa wamekuwa wapakaji..!
Aaaa Insepcta utawezaje kumuoa mtoto Classic..!Hahaha nimekumbuka dude Katika Video ya Asali wa Moyo.
ASali Wa Moyo-Insepecta Haroun..
What'saap Babu Much Respect..
Ugua Pole Mr Dude....! Maisha ni kukuru kakara.