Msanii wa Filamu Kulwa Kikumba maarufu kama 'Dude' apata ajali

Boda Boda sipandi na ikitokea nimepanda huwa dereva anakaa nyuma "naendesha mwenyewe" Hutaki Basi.
Yaani upo Kama Mimi, daladala huwa sipandi, na ikitokea nimepanda huwa dereva lazima anipishe seat niendeshe mwenyewe
 
Kumbe alikuwa anawawahi Wasani wenzake waende dodoma kwenye ufunguzi wa kampeni ccm
Dah pole dude

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Msanii mkubwa anatembea na bodaboda? ALishindwa kuita Ubber? Pole kwake ,Bodaboda sio usafiri salama kwa mijini.
Mo mwenyew anapandaga bodaboda.uskariri wew...mi mwenyew kuna muda huwa napanda bodaboda
 
Mwaka gani ilikuwa? Pale baruti nimewahi ishi
 

βœŒπŸ»βœŒπŸ»πŸ€“πŸ€“
 

Sasa mkubwa kwakua magari, ndege na zenyeqe zinapata ajali na kufinyangwa, umewapiga marufuku kutumia hivyo vyombo pia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…