Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Na limebarikiwa tumbo la Tausi.
Hakika Mungu hamtupi mja wake.
Hakika Mungu hamtupi mja wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sweetheart nahuyu ni Mume mwenza ?
Na iwe hivyo mpenziKhantwe tarehe kama hii mwakani tupo tunacheza na mwanetu.
Hapana babe nilikuwa nae kabla sijakupata weweSweetheart nahuyu ni Mume mwenza ?
Yes Darling , unizalie mabinti warembo !!
Sababu utafanya sasa ukirudi nisikurhusu usitoke wakat nmeshazoea kukuacha uende pekeako sababu you are big girl and I used to believe that you can go out mwenyewe and take care of yourself ,nkabaki kua tayari pale utakapoona nahitajika kuwepo !!
Hatuangalii ni mwili wala umbile la mwanamke tunaishi nao tu na kuwapa huduma saaaafi mpaka watoto. Ndo maana unaona hata vichaa wa kike wanapata mimba safi tu ila wanawake hawawezi hivyo.Whhhyy?
Niamini babe, naanzaje kukusaliti wewe na mahaba yote haya unayonipa? Kwanza huyo mwingine atakaa wapi na moyoni mwangu umejaa wewe tuMmhhh Baby usipende sema Kauli Tata zinazotoa wakati mgumu ... Sababu utafanya sasa ukirudi nisikurhusu usitoke wakat nmeshazoea kukuacha uende pekeako sababu you are big girl and I used to believe that you can go out mwenyewe and take care of yourself ,nkabaki kua tayari pale utakapoona nahitajika kuwepo !!
Ahsante mpenzi, nakuombea piaNiamkapo na kabla sijalala ninakuombea
Niamini babe, naanzaje kukusaliti wewe na mahaba yote haya unayonipa? Kwanza huyo mwingine atakaa wapi na moyoni mwangu umejaa wewe tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Naelewa, unafanya ivo siku zote, ndio sababu njia zangu zimejaa kufanikiwa ... Niseme nn tena, zaidi ya kushukuru Mbingu kuniletea mwanamke mzuri kama wee??mwanamke ambaye ukiachilia mbali uzuri wa Sura , umbo zuri ambalo hunifanya muda wote nihitaji kua pemben mwako, Pumzi tamu kinywan inayochagizwa na harufu nzuri ya ngozi yako , bado bado Ni mwanamke unayepiga magoti na kusali.
Happy valentine day[emoji2]Naelewa, unafanya ivo siku zote, ndio sababu njia zangu zimejaa kufanikiwa ... Niseme nn tena, zaidi ya kushukuru Mbingu kuniletea mwanamke mzuri kama wee??mwanamke ambaye ukiachilia mbali uzuri wa Sura , umbo zuri ambalo hunifanya muda wote nihitaji kua pemben mwako, Pumzi tamu kinywan inayochagizwa na harufu nzuri ya ngozi yako , bado bado Ni mwanamke unayepiga magoti na kusali.