my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
Msanii mfupi Tanzania amepata mtoto. Mtoto amefanana na baba yake. Hongera kwake. Mungu amkuze mtoto 🙏🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapenzi ya kweli bado yapo.Kipenda roho-Remy Ongala alikuwa yupo sahihi.
Before ya valentine. Kwan una theory gan mpk umeuliza hlo swali 😂Yaan wamepata mtt siku ya Valentine! Au ni before that?
Whhhyy?Sisi wanaume wote lazima tuende mbinguni.
Nikasema kwakuwa niwapenda nao naona kuna uhuhimu sana wawao kisheherekea hii Valentine's Day wangepata mtt leo 😂 Kumbe sio leo watulie tu wasitusumbue ss.Before ya valentine. Kwan una theory gan mpk umeuliza hlo swali 😂
Mtoto amezaliwa tangu januaryYaan wamepata mtt siku ya Valentine! Au ni before that?
kwao wote wapo ivyo ivyo kuna mdogo wake kiume yupo chuo kikuu nae yupo ivyo ivyo.Msanii mfupi Tanzania amepata mtoto. Mtoto amefanana na baba yake. Hongera kwake. Mungu amkuze mtoto [emoji120][emoji120]