Msanii wa kike avukwa na nguo akiwa jukwaani

Msanii wa kike avukwa na nguo akiwa jukwaani

Yanafaa sana mkuu kwani wewe unayaonaje ? Usikute kengeza langu ndio linanidanganya
Vifua vya haja ndio ugonjwa wangu aiseeee [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Hapa nishaanza mchakato wa kufia kwenye kidonda[emoji12]
 
Vifua vya haja ndio ugonjwa wangu aiseeee [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Hapa nishaanza mchakato wa kufia kwenye kidonda[emoji12]
Hahaha basi kwa sasa niko obsessed na vifua nadhani baada ya wiki mbili obsession itahamia kwenye kucha ,yaani acha tu
 
Tangu lini maziwa yakawa sehemu "nyeti" kwa Mwafrika? Kwa wazungu sawa lakini Waafrika mh...May be nyie wa huko Dar. Huku vijijini wanawake wananyonyesha mchana kweupe tena bila shida na makabila mengine matiti hayana dili kabisa yako nje nje tu hata kwa matineja.
kinachonishangaza watu wanashindwa kutofautisha kati ya dini na utamaduni,waafrika mapaja,matiti,kitovu ni kitu cha kawaida tuu kuonekana ukizungumzia utamaduni hata ukiangalia makabila ambayo hayajastarabika wanavyovaa,au mavaz ya ngoma za asili nk,sasa still mtu anayevaa kuonesha mapaja au matiti tunamwambia kuwa sio utamaduni au maadili ya mwafrika.nadhani wangesema dini hairuhusu wangekuwa sawa.
 
Ni msanii wa nini? Maana siku hizi hata wezi wanaitwa wasanii.
 
Hayo unayoyaona yanazagaa yakichezewa kunyonywa, wewe jaribu kaliguse hadharani uone cha moto. Utashitakiwa kwa kushika nyeti za mwanamke bila ridhaa yake. Mbona nyeti za mwanamke no karibu mwili mzima, kasoro kichwa Shingo mikono na makanyagio.
Lkn anzia goti kupanda juu, hadi shngo kila kiungo pale ni eneo nyeti kwa mwanamke.
Wewe una mtazamo wa kisheria. Mimi nina mtazamo wa kitamaduni. Tumetofautiana!
 
Huyu alitaka kuonyesha nyeti zake za juu hadharani maana hiyo nguo yake hmmmmm! halafu hata bra hakutaka kutupia si ajabu hapo hata picchu aliamua kuiacha home.
Sio kila vazi linavaliwa ma bra dogo,ukioa utayajua haya.
 
Back
Top Bottom