Mbona hana nyumbaShows anapiga ila pesa ndefu Sana subiri swaumu ipite utaona tutakavyowatoa povu
Bilionea anaeishi kwa wazazi au ndo masharti ya mganga [emoji28]Mkuu mbona hako kahela kadogo sana anaweza hata akamfungulia na wemasepetu, abdu kiba, petiti man kila mtu TV yake, King Kiba ni bilionea wa kutupwa basi tu hapendi kujionesha alshabab wakazivamia kariakoo...
Kwny mtv labda kwny category ya best upcoming artistKoroga festival show alopiga kiba ilikuwa ni tukio la 3 kihistoria kenya mwaka jana kwa kujaza watu, tukio la kwanza ilikuwa ni ujio wa Obama na tukio la 2 kwa kujaza watu ni ujio wa papa. inasemekana kiba aliingiza pesa nyingi sana, show imemfunguliwa milango mingi, ikiwemo deal la sony, pia jiandae kisaikolojia mwaka huu tuzo za mtv king ndan ya nyumba.
Nisimalize uhondo wote, habar zote utakuwa unazipata live kupitia Alikibatv, uwiiiiii
Hatua nzuri kuanzisha Youtube channel?makaveli10 said:Hatua nzuri, hongera ziende kwake.
SHANGAA NA WEWE MKUU MIE NAANGALIA2,Bilionea anaeishi kwa wazazi au ndo masharti ya mganga [emoji28]
ACha uvivu wakufikiri ww, wenzake nani? Na iyo 20mil per show ni abdu kiba auAlikiba anatoza dau kubwa ndiomana show zake nyingi anapigia kenya, za bongo nyingi dau dogo, ndiomana mwaka jana kwa mujibu wa utafiti wa msetoa tv Alikuwa ni msanii wa 3 kwa kuingiza pesa nyingi East africa kupitia show, Alifanya show chache lakin za mpunga mrefu mfano show kwenye uzinduz wa safaricom kenya, koroga festival etc, Pia mwaka jana kaamua kuja na mpango wake kuwa anaandaa show mwenyewe ili maximize profit mfano show ya "funga mwaka na kingkiba, pia mwaka huu vile vile atakuwa anasimamia show zake mwenyewe, tofaut na yule mwenzake anayeitwa na mapromota kwa tu million 20 per show.
Ni youtube chaneli!!!!!! Mie nilifikiri ni kituo cha tv kabisa, n kuna mtu kaniambia itakuwepo ndani ya dstv. Hebu tutoane tongo tongo hapoHatua nzuri kuanzisha Youtube channel?
Haha unataka azipost Instagram Hana ujinga huo ila nyumba anazo sio anayoMbona hana nyumba
Bilionea anaeishi kwa wazazi au ndo masharti ya mganga [emoji28]
UongoHizo ulizozutaja ni online tv, Huwez kuipata dstv au azam, ila hii ya kiba sio Online tv, ni tv kama Cloudz tv, East Africa tv, itv, mtv etc
Hatua nzuri kuanzisha Youtube channel?
Naona mawazo ya fasta fasta baada ya kuvuta mpunga wa Sony! watu hawatakuja kutizama jina la tv! ila yaliyomo, kama E FM kwenye radio, ikija chini ya kiwango kama Clouds tv, im sorry....!Hizo ulizozutaja ni online tv, Huwez kuipata dstv au azam, ila hii ya kiba sio Online tv, ni tv kama Cloudz tv, East Africa tv, itv, mtv etc