Msanii wa kimataifa Alikiba azindua rasmi Television yake "ALIKIBATV"

Msanii wa kimataifa Alikiba azindua rasmi Television yake "ALIKIBATV"

Hongera mzee wa masautiiiii unajuaga aisee si kwa sauti hiyo aly k
 
Shardcore ulituaminisha kuwa tu jiandae kisaikolojia kuwa kiba mwaka huu MTV atakuwemo mbona simuoni kaka
 
Ametisha sana...

Ila meneja wake wafanye kazi, msanii anatoa hit songs za kutosha kwanini hawamtafutii shows? Mapato ya msanii kwa kiasi kikubwa yanatokana na shows, wanategemea awe bilionea kivipi?
Sio show tu hata nyimbo sioni kama wanazipush inavyotakiwa
 
Habari wakuu!

Huku wengine wakiendelea kujivunia kuchora mitattoo ya bei ghali na meno ya dhahabu.

Msanii wa kimataifa Alikiba yeye aendelea kuitumia vyema karata yake baada kupata Shavu la sony global deal, hii leo amezindua rasmi televevision yake "ALIKIBATV" ambayo itaanza kupatikana kwny DSTV pamoja na ving'amuzi mbalimbali. Dunia nzima watu mbalimbali watapata access ya kuitazama channel hiyo.

Hongera Kiba, gooo King Kiba..


View attachment 352091

[HASHTAG]#Repost[/HASHTAG] @officialalikiba with @repostapp
・・・
Caption: MAJOR ANNOUNCEMENT #5: ALIKIBA LAUNCH ALIKIBA TV IN GLOBAL PARTNERSHIP WITH ROCKSTARTV

ALIKIBA channel to give fans, broadcasters, platforms and content licensors an All Access Rockstar Pass to everything in the world of Alikiba, world class around-the-clock content.

Subscribe to the official Alikiba YouTube and Facebook Channels, Rockstar TV channels, SoundCity and several other channels around the world to be announced soon...

@RockstarTelevision [HASHTAG]#RockstarTV[/HASHTAG] [HASHTAG]#KingKiba[/HASHTAG] [HASHTAG]#AlikibaTV[/HASHTAG] [HASHTAG]#ROCKSTAR4000[/HASHTAG] @ROCKSTAR4000 @SoundCityAfrica [HASHTAG]#Aje[/HASHTAG] [HASHTAG]#KingKiba[/HASHTAG]
===============

Meneja wa Alikiba, Seven Mosha, afanunua nini kitakachokuwepo kwenye Alikiba TV

Wikiendi iliyomalizika, kampuni ya usimamizi inayofanya kazi naye, Rockstar4000 imetangazakuingia naye ubia kwa kuanzisha kile kilichopewa jina ‘Alikiba TV.’

Kwa wengi taarifa hiyo iliyoandikwa kwa Kiingereza haijaeleweka vizuri na hivyo nimelazimika kumtafuta meneja wake, Seven Mosha kumuomba atupe ufafanuzi zaidi.

“Alikiba amezindua Alikiba TV ambayo ni content kuhusiana na kazi yake – matukio yote around him kikazi itakayokuwa inapatikana kwenye YouTube channel yake na pia itaanza kuoneshwa kwenye vituo mbalimbali tukianza na SoundCity,” Seven ameiambia Bongo5.

“Alikiba TV itakuwa chini ya mwavuli wa Rockstar Television,” ameongeza.

Kwa mujibu wa tangazo hilo zaidi ya Soundcity ya Nigeria, vituo vingine vya runinga dunian ivitakavyoshirikiana naye kwenye mradi huo vitatangazwa. Kwa sasa mashabiki wameombwa kusubcribe kwenye channel yake ya Youtube ili kutopitwa na chochote.

Wiki mbili zilizopita Alikiba alisainishwa recording deal na label maarufu duniani, Sony Music. Kiba anayefanya vizuri na wimbo wake Aje, amekuwa msanii wa pili baada ya Davido kusainishwa kile wanachokiita ‘global deal’ na label hiyo iliyo nyumbani kwa wasanii wakubwa duniani.


Chanzo:Bongo5
We sio mtoa taarifa !! N mkereketwa!!..sasa mwenye mtoto wa kuchorwa naeno ya dhahab nan kama c hila hyo!! Amshukuru anaemkimbiza had akili imemkaa sawa maanq alishalalq had tukaanza kumsahau ....alivokuja Moto/mnyama!!..naayy akaznduka alikolala!!
 
njema ,nimekumiss sana snowhite umepotelea wapi ?
niiiiipo mae!
kazi tu za hawa wakoloni zinanimaliza wowowo langu!
chaaaa!
uko poa lakini?
I hope uko mzima kila kitu on track except for mambo ya kawaida ya kila siku na maisha ,ryt?
so Tumshukuru Mungu mwaya.
 
Vp TV ya alikiba inaparikana king'amuz kipi tuitafute? Dstv ipo? 🙄🙄🙄
Nadhani sasa tushatambua nini kinafanyika...
•kuna waongeaji na watekelezaji....
•kuna mziki sauti na mziki biashara...
•kuna talented kama Lionel Messi na real
hustler mithili ya kina
Cristiano Ronaldo....
•kuna wabwetekaji na wapambanaji...
•kuna wanaoyatafuta mafanikio na
wanaolazimisha kufanikiwa....
•uchambuzi bado ni mrefu unaeza ongeza
na chako...
•na kadhalika.... na kadhalika... na kadhalika...
 
Habari wakuu!

Huku wengine wakiendelea kujivunia kuchora mitattoo ya bei ghali na meno ya dhahabu.

Msanii wa kimataifa Alikiba yeye aendelea kuitumia vyema karata yake baada kupata Shavu la sony global deal, hii leo amezindua rasmi televevision yake "ALIKIBATV" ambayo itaanza kupatikana kwny DSTV pamoja na ving'amuzi mbalimbali. Dunia nzima watu mbalimbali watapata access ya kuitazama channel hiyo.

Hongera Kiba, gooo King Kiba..


View attachment 352091

#Repost @officialalikiba with @repostapp
・・・
Caption: MAJOR ANNOUNCEMENT #5: ALIKIBA LAUNCH ALIKIBA TV IN GLOBAL PARTNERSHIP WITH ROCKSTARTV

ALIKIBA channel to give fans, broadcasters, platforms and content licensors an All Access Rockstar Pass to everything in the world of Alikiba, world class around-the-clock content.

Subscribe to the official Alikiba YouTube and Facebook Channels, Rockstar TV channels, SoundCity and several other channels around the world to be announced soon...

@RockstarTelevision #RockstarTV #KingKiba #AlikibaTV #ROCKSTAR4000 @ROCKSTAR4000 @SoundCityAfrica #Aje #KingKiba
===============

Meneja wa Alikiba, Seven Mosha, afanunua nini kitakachokuwepo kwenye Alikiba TV

Wikiendi iliyomalizika, kampuni ya usimamizi inayofanya kazi naye, Rockstar4000 imetangazakuingia naye ubia kwa kuanzisha kile kilichopewa jina ‘Alikiba TV.’

Kwa wengi taarifa hiyo iliyoandikwa kwa Kiingereza haijaeleweka vizuri na hivyo nimelazimika kumtafuta meneja wake, Seven Mosha kumuomba atupe ufafanuzi zaidi.

“Alikiba amezindua Alikiba TV ambayo ni content kuhusiana na kazi yake – matukio yote around him kikazi itakayokuwa inapatikana kwenye YouTube channel yake na pia itaanza kuoneshwa kwenye vituo mbalimbali tukianza na SoundCity,” Seven ameiambia Bongo5.

“Alikiba TV itakuwa chini ya mwavuli wa Rockstar Television,” ameongeza.

Kwa mujibu wa tangazo hilo zaidi ya Soundcity ya Nigeria, vituo vingine vya runinga dunian ivitakavyoshirikiana naye kwenye mradi huo vitatangazwa. Kwa sasa mashabiki wameombwa kusubcribe kwenye channel yake ya Youtube ili kutopitwa na chochote.

Wiki mbili zilizopita Alikiba alisainishwa recording deal na label maarufu duniani, Sony Music. Kiba anayefanya vizuri na wimbo wake Aje, amekuwa msanii wa pili baada ya Davido kusainishwa kile wanachokiita ‘global deal’ na label hiyo iliyo nyumbani kwa wasanii wakubwa duniani.


Chanzo:Bongo5
Mkuu upo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom