Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,552
Lile lilituambia tuhamie Burundi, ๐ข๐ข๐ข maana nipo Kabanga hapa ndio navuka boda nilidhani ni yeye nianze kurudi mkuu๐๐๐๐Waziri gani mkuu uliye zani? Maana dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lile lilituambia tuhamie Burundi, ๐ข๐ข๐ข maana nipo Kabanga hapa ndio navuka boda nilidhani ni yeye nianze kurudi mkuu๐๐๐๐Waziri gani mkuu uliye zani? Maana dah
Itakuwa ni kufanana tu labda maana wanasema binadamu wawili wawili.Basi nimewachanganya. Mbona na picha yake iliwekwa hapa? Staili ya nywele zake kulikuwa na mvi na sehemu nyingine nyeusi.
๐คฃ๐คฃ๐คฃ Dah noma kweli ipo siku itatokea uwe na amani tu.Lile lilituambia tuhamie Burundi, ๐ข๐ข๐ข maana nipo Kabanga hapa ndio navuka boda nilidhani ni yeye nianze kurudi mkuu๐๐๐๐
Wacha tumuite Elisha-dai huwa hanyamazi๐คฃ๐คฃ๐คฃ Dah noma kweli ipo siku itatokea uwe na amani tu.
Labda Waziri SonyoItakuwa ni kufanana tu labda maana wanasema binadamu wawili wawili.
Zamu yao itafika tuMwigulu ****** polepole sabaya cjui wao lini
Wana njenje original maana pale kila ijumaa ilikuwa ni usiku wa njenje. CCM wakauza Gogo Hotel ambayo baadae iliitwa City Ambassador Hotel.Huyu jamaa alikuwa akinipigia mziki pale Ambassador Plaza (siku hizi Airtel makao makuu) Morocco. Sasa kaondoka...
Wana njenje original maana pale kila ijumaa ilikuwa ni usiku wa njenje. CCM wakauza Gogo Hotel ambayo baadae iliitwa City Ambassador Hotel.
Naam kulikuwa na buzuki flani wanapiga wakichanganya na nyimbo zao. Dah gone are old good days aisee.Naam, mhenga mwenzangu. Nilikuwa nakaakaa hapo nilipokuwa natembelea Dar. Jamaa anapiga zilipendwa anachanganya na nyimbo zao wenyewe Njenje.
Wa mwanzo alikua mwanamuziki mwenzake maarufu kwa jina la Babu Njenje!Huyu amekufa mara ya pili? Mbona kama niliona tangazo lake hapa wakati wa wimbi la kwanza?
Basi nimewachanganya. Mbona na picha yake iliwekwa hapa? Staili ya nywele zake kulikuwa na mvi na sehemu nyingine nyeusi.
Yule alikuwa mzee njenje
Yule ni babu NjenjeBasi nimewachanganya. Mbona na picha yake iliwekwa hapa? Staili ya nywele zake kulikuwa na mvi na sehemu nyingine nyeusi.
Yule ni babu Njenje
Three members of The Kilimanjaro band : Mabrouk Hamisi, Mohammed Mrisho, and Waziri Ally, have played together since 1973 when the band was called the Revolutions.