Msanii zuchu kutambulisha EP yake leo

We endelea kuongozwa na HISIA ila mwisho wa SIKU si tutaangalia NUMBER kwani NUMBER hazidanganyi.
 
In my Opinion..

Nasikiliza genre mbalimbali za muziki,so nina standard..

Huyu msanii angekuwa hayupo WCB hata 50k asingekuwa amepata

Ana nafasi ya kuimprove..uimbaji wake wakawaida sana
Mzee una wivu.
 
Mzee una wivu.
Sio wivu..ningekuwa na wivu nisingesifia debut singles za kina Rayvanny na wengine..sema nyie mashabiki hoyahoya huwa mnakuwa kama mmelogwa na hamtaki kusikia maoni negative kutoka kwa watu..

She has to come with something special ili sisi wapenda muziki kutoka kwa real talents tumuelewe..ila for the meantime wewe unaweza kuendelea kumpa 5star zako
 
Wewe ulitaka yakuchezeka ndo maana lakini hiyo ngoma ipo poa kuanzia beat, Melody mpaka mashairi ulikuwa unataka Nini zaidi ya hivyo
 
Wewe ulitaka yakuchezeka ndo maana lakini hiyo ngoma ipo poa kuanzia beat, Melody mpaka mashairi ulikuwa unataka Nini zaidi ya hivyo
Nani amesema anapenda nyimbo kama hizo tu?

Ngoja nikutajie playlist yangu fupi kwa sasa then uone mimi ni mtu ninayependa aina gani ya muziki

✓Dawa-Sheby Medicine(bonge na ngoma)..Yooo guys kasikilizeni hili pini

✓Pombe Sigara-Nviiri The Storyteller

✓Jeje-Diamond

✓Before You wake up-Adekunle Gold

✓Bedroom-Harmonize

✓Toosie Slide-Drake

✓Haina Maana-Mimi Mars

✓Umefanana naye-Belle 9

So kwa kiufupi najua muziki mzuri iwe ni wakuchezeka au wakusilizika tu kwa wewe unavyosema
 
Kamoyo kana wauma .pole



Sent from my SM-A105G using Tapatalk
 
Kasikilize vizuri Tena Mara kwa Mara utaupenda na utavuta comment yako ulioandika huyu dada ni fundi na best vocalist na ameshiriki kwenye shindano la vipaji la Tecno own stage lililofanyika Nigeria kwa Tanzania walitoka wawili tu Nandy na Zuchu mwenyewe na pia zuchu alikuwa ndio anategeneza jingle nyingi pale Wasafi.Tukija kwenye wimbo wake huu kachanganya vitu vitatu bongo fleva, mziki wa bwani na ladha ya kihindi kwa mbali huo ndio ubunifu wenyewe na Jambo zuri kwa huyu dada si tu anaimba lakini ni writer mzuri ana andika nyimbo mwenyewe, uandishi wa huo wimbo ni mzuri Sana lakini pia ni wimbo wa kudumu huwezi kuuchoka kusikiliza kiufupi huyu dada ni fundi.
 
Mkuu Hawa wasanii wa Wcb wanatembelea kivuri cha boss wao ila uwezo wao mdogo.

isingekua yupo chini ya Diamond mpaka kufikia mda huu hata Views 20k hangekua hajafika,
mnasemaga hivi ila baadae wakiambiwa gharama za kuvunja mkataba ni milioni 600 mnaanza kusema Diamond mnyonyaji mnasahau investment iliyofanywa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zuchu overrated...hamfiki hata yule mjukuu wa Mbaraka Mwinshehe"Marrisa" na ngoma yake niko single..na hizo views marobot kama kawaida yao...
 
Lini ushawahi kusifia WCB ww?

Wewe mpaka radio ulikuwa unaponda mpaka watangazaji wake ukafikia kusema,Mondi anapoteza hela yake siku hizi makampuni hayatoi matangazo.

Wamewachukua akina Jonijo ukasema "Madogo wenyewe hawajui,wanawaiga XXL".Juzi wamewachukua akina Kitenge na Dida ukasema "Mondi anapoteza hela zake siku makampuni yamepunguza matangazo".

Ila thread za Kiba na Mjengoni Clouds hapo unazipamba.Brother hii jamii forum usiwe mnafiki JF itakuumbua.
 
Nyimbo zote za kike itakuwa wewe sio mwenzetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This is a History written in Africa for the first time. An upcoming artist with a million views less than 72 hrs...
Movements... Movies za WCB

Ndo hizi sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…