joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
We endelea kuongozwa na HISIA ila mwisho wa SIKU si tutaangalia NUMBER kwani NUMBER hazidanganyi.Najua mtabisha mpaka kesho ukweli ndo huo wimbo mbovu, Kivuri kinawabeba ila uwezo wao mdogo mno,. Promo kubwa watu wanaenda kucheki wanakutana na matakataka..
hata hiyo Ep itakua mbovu tu style ya uimbaji itakua ile ile maadhi ya taarabu kwenye beat za bongo fleva wanajaribu kupatahit kupitia Ep