choupa moting
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 1,508
- 2,563
Mimi kwa DSM sijaona sehem kuna mafuska na malaya kama TBT. 50% ya madada wanaojiuza mitandaoni na maofisini wanaishi TBT.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kuna eneo linakuja kwa kasi KIMARA.Mimi kwa DSM sijaona sehem kuna mafuska na malaya kama TBT. 50% ya madada wanaojiuza mitandaoni na maofisini wanaishi TBT.
Oysterbay mpaka wake una utata sana.Msasani Peninsular!!! Tirdo na CCRBT zipo Maandazi Road au Oysterbay?
Mambo hadharaniHasa huuu uwanja wa magunia ndio mambo yaishia humu ,ikifika saa moja jioni ni balaaa
Mtaa wa Ali Bin Said ndio mpaka wa Msasani na Oyster BayOysterbay mpaka wake una utata sana.
Kwa sababu kwa sasa naona unaanzia Don Bosco Mbuyuni pale kuchukua njia ya kwenda mpaka TIRDO mpaka Uganda Avenue ya baada ya Morogoro Stores.
Lakini pia, kuna Oysterbay Police huku, na kati hapa kuna Namanga na Msasani Mikoroshini.
Karibu Mafleti, jioni nitakuwepo DamtaThey call it Msasani, we call it home!
Huyu aliyeliwa na mbwa enzi zile za 90's namfahamu vizuri, she used to be my next door neighbour.
Officially nilihama msasani 2012! Ila naipenda na kuiheshimu sana msasani.
MSASANI KWANZA!
Duh, maflet., mchicha! Obey! Ningekuja Mkuu ila tatizo Niko mbali sana najiji.! Mkirikiti, masemen., Gtyre(kwabanachila), makangangira, nagari mabovu!Karibu Mafleti, jioni nitakuwepo Damta
Duuuh JF kuna wazeee kumbeee shikamoo mkuuuIssue ya msichana kulalwa na Mbwa wa mzungu ilikua miaka ya 90s na ndipo lilipozaliwa neno "Wowowo"
Wazungu wenyewe walikua ni Wajerumani kama sijasahau,au mkuu kuna issue nyingine ilitokea tena zaidi ya hiyo?
Kuna kipande fulani cha Oysterbay kiko upande wa pili wa mtaa wa Ali bin Said.Mtaa wa Ali Bin Said ndio mpaka wa Msasani na Oyster Bay
DuuuIssue ya msichana kulalwa na Mbwa wa mzungu ilikua miaka ya 90s na ndipo lilipozaliwa neno "Wowowo"
Wazungu wenyewe walikua ni Wajerumani kama sijasahau,au mkuu kuna issue nyingine ilitokea tena zaidi ya hiyo?
Usisikikize ya watu, fuata master plan ya jijiKuna kipande fulani cha Oysterbay kiko upande wa pili wa mtaa wa Ali bin Said.
Ukienda mwisho wa Karume Road huku kabla hujashuka Namanga.
Ziko mikoroshiniMsasani Peninsular!!! Tirdo na CCRBT zipo Maandazi Road au Oysterbay?
Hahahaaa nimekuja mkuu....
Tabata kweli wamejazana wanaishi huko sabab ya unafuu wa bei ya nyumba/vyumba vya kupanga na ni jiran na kwenda maeneo mengine. Knyama wengi hawapamudu saiz na mwananyamala slay queens wanapaona uswazi saiz. Ukiwa makumbusho stendi utakutana na sample zote za kutoka kila kona ya jiji. Soon wengi watakimbilia mbezi ya kimara panakua pamoto si muda naona pubs kali zishaanza funguliwa na totoz kibaoMimi kwa DSM sijaona sehem kuna mafuska na malaya kama TBT. 50% ya madada wanaojiuza mitandaoni na maofisini wanaishi TBT.
Oysterbay Police iko wapi?Usisikikize ya watu, fuata master plan ya jiji
Mtaa wa MikoroshiniOysterbay Police iko wapi?