Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,264
- 678
Kumbe tuko wengi. Mdahalo umepoteza kabisa mwelekeo
Mbona alisema yeye hataongelea katiba ila alikuwa anampa salamu msekwa awapelekee wenzake. Alisema hatunahaja ya kuomba katiba ila tunataka katiba alisisitiza si ombi bali watu wanataka haki yao. Kiujumla Lema anauchungu sana na ccm maana inataka kuuhodhi mchakato wakatiba kupitia raisi wao jk. Mimi amenifurahisha kwa kuwadharirisha ccm wasije wakadhani kuwa wao ndo wanapashwa kutoa au kutokutoa katibLkn cjamkubali kivile hajaweza kujipanga katika kuwasilisha hoja ya nguvu yaani uwezo wake nadhani anahitaji semina au darasa la namna ya kusend msg katika hadhira tofauti amezungumza kama anaongea na masela wa unga ltd