Msekwa kudai kwamba Salum Jecha alifuta uchaguzi wa 2015 peke yake ni Uongo

Msekwa kudai kwamba Salum Jecha alifuta uchaguzi wa 2015 peke yake ni Uongo

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Wote tunafahamu kwamba Salum Jecha alifuta matokeo ya Urais ya 2015 baada ya Mgombea wa chama chake CCM aliyeitwa Mohamed Shein kuangushwa kwa kishindo na Gwiji Maalim Seif, huu ndio ukweli na ndivyo dunia inavyofahamu .

Salum Jecha alifuta uchaguzi ule kwa Maelekezo ya CCM, hii maana yake ni kwamba Jecha alishirikiana na ccm kufuta uchaguzi wote wa Urais kwa lengo la kuokoa chama chake baada ya Mgombea wao kuangukia pua, ikumbumbukwe kwamba Jecha ni Mwanaccm hai aliyeshiriki chaguzi za ubunge na Urais za chama hicho kama Mgombea.

Kabla ya tangazo la kufutwa kwa uchaguzi wa 2015 vyombo vya usalama vilisambazwa mitaani ili kukabiliana na watakaopinga , hii maana yake ni kwamba kulikuwa na ushirikiano kati ya Vyombo vya dola, CCM na Jecha, Sitaki kuamini kama Pius Msekwa alikuwa hayajui haya, kiasi cha kusema JECHA ALIFUTA UCHAGUZI PEKE YAKE, hapa amelenga kupotosha umma , hawa wazee wakiachwa kuendelea kupotosha watatuona sisi vijana wa kileo ni mabwege, nampinga vibaya sana huyu Mzee.

Ni kweli kwamba Jecha ndiye aliyetangaza kufutwa kwa uchaguzi ule kwa vile alikuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ule, lakini alitumwa kufanya vile na chama chake, hakuwa peke yake, Mzee Msekwa aseme ukweli ili aendelee kuheshimiwa.
 
CCM ndio walifuta uchaguzi baada ya kushindwa na CUF
Shikwambi

Shinda kwa Mbinu ( Shikwambi)

Ile ya 2020 ni cha mtoto, 2025 mtapigwa Shikwambi ambayo haijawahi kutokea na hii Itakuwa Massive landslide Victory kwa Rais Samia

Mama atashinda kabla hata ya tarehe ya uchaguzi, Ndani ya miezi kadhaa Mama ameshashawishi wahisani wengi na hata biashara za matajiri zina anza kuamka

Tuliwaeleza mwaka 2020 matumizi ya Shikwambi mkatukana hapa JF, Yaliyotokea kwenye uchaguzi mliyaona

2025 hata neno Chadema huta lisikia hapa Tanzania

Mimi mwenyewe najitokeza Front line lazima Mama ashinde.

Huoni ujenzi umeanza tena mitaani kwa kasi ya ajabu na watu sasa wanakula starehe sana

Nipo Dar hapa kwa muda toka Dodoma Hakika sasa watu wanakarabati sehemu zao za starehe kwa kasi sana na hayo ndio yanaonyesha pesa inazunguka kwa kasi sana

Tegemea matumizi ya Shikwambi zaidi 2025

Hakuna wa kukutetea maishani mwako, Jibebe na ujitetee mwenyewe, Kila mtu ana matatizo yake na ana familia yake inayomtegemea, Wewe nani tukuruhusu ukate mirija ya watu ya shibe na chakula kisa uchaguzi

Uchaguzi ni neno tu linalotumika kuonyesha kuna Demokrasia sio Tanzania tu hata baadhi ya nchi ulaya na Asia hakuna uchaguzi wa Demokrasia hata marekani wenyewe aina ya uchaguzi wao wa majimbo ni wa kidikiteta sana, Kuna majimbo yamepewa electro vote nyingi sana Marekani na mengine electro vote kiduchu sana,

Kama unategemea ushindi wa spoon feeding sahau mkuu, Utapigwa Shikwambi na hata hutaamini kama kweli akina Mama sasa wanaweza 2025 na neno Chadema hutalisikia bali litabaki kwenye kumbukumbu za kitabu cha gnesisi kuwa kilikuwa chama cha siasa Tanzania kilichojifia chenyewe kabla ya uchaguzi 2025
 
Una ngenye wewe nenda chooni ukamalizie huko
 
Kwa mpunga mrefu na marupurupu mengi ambayo Spika wa Bunge mstaafu anayapata, ni lazima naye awe sehemu ya propaganda za uongo zinazoendeshwa na chama chake. Kwa umri wake alipaswa kuwa na hofu ya Mungu, na pengine ingalikuwa ni vyema kama angekaa kimya.

Anatembea katika kanuni ya Ibilisi ya ukengeufu;
1. He was used by evil power
2. He was misused by it
3. He is now abused by it
4. Finally he will be confused by it.
 
Shikwambi

Shinda kwa Mbinu ( Shikwambi)

Ile ya 2020 ni cha mtoto, 2025 mtapigwa Shikwambi ambayo haijawahi kutokea na hii Itakuwa Massive landslide Victory kwa Rais Samia

Mama atashinda kabla hata ya tarehe ya uchaguzi, Ndani ya miezi kadhaa Mama ameshashawishi wahisani wengi na hata biashara za matajiri zina anza kuamka

Tuliwaeleza mwaka 2020 matumizi ya Shikwambi mkatukana hapa JF, Yaliyotokea kwenye uchaguzi mliyaona

2025 hata neno Chadema huta lisikia hapa Tanzania

Mimi mwenyewe najitokeza Front line lazima Mama ashinde.

Huoni ujenzi umeanza tena mitaani kwa kasi ya ajabu na watu sasa wanakula starehe sana

Nipo Dar hapa kwa muda toka Dodoma Hakika sasa watu wanakarabati sehemu zao za starehe kwa kasi sana na hayo ndio yanaonyesha pesa inazunguka kwa kasi sana

Tegemea matumizi ya Shikwambi zaidi 2025

Hakuna wa kukutetea maishani mwako, Jibebe na ujitetee mwenyewe, Kila mtu ana matatizo yake na ana familia yake inayomtegemea, Wewe nani tukuruhusu ukate mirija ya watu ya shibe na chakula kisa uchaguzi

Uchaguzi ni neno tu linalotumika kuonyesha kuna Demokrasia sio Tanzania tu hata baadhi ya nchi ulaya na Asia hakuna uchaguzi wa Demokrasia hata marekani wenyewe aina ya uchaguzi wao wa majimbo ni wa kidikiteta sana, Kuna majimbo yamepewa electro vote nyingi sana Marekani na mengine electro vote kiduchu sana,

Kama unategemea ushindi wa spoon feeding sahau mkuu, Utapigwa Shikwambi na hata hutaamini kama kweli akina Mama sasa wanaweza 2025 na neno Chadema hutalisikia bali litabaki kwenye kumbukumbu za kitabu cha gnesisi kuwa kilikuwa chama cha siasa Tanzania kilichojifia chenyewe kabla ya uchaguzi 2025
Aliyekwambia kwamba Samia atafika 2025 ni nani?
 
Shikwambi

Shinda kwa Mbinu ( Shikwambi)

Ile ya 2020 ni cha mtoto, 2025 mtapigwa Shikwambi ambayo haijawahi kutokea na hii Itakuwa Massive landslide Victory kwa Rais Samia

Mama atashinda kabla hata ya tarehe ya uchaguzi, Ndani ya miezi kadhaa Mama ameshashawishi wahisani wengi na hata biashara za matajiri zina anza kuamka

Tuliwaeleza mwaka 2020 matumizi ya Shikwambi mkatukana hapa JF, Yaliyotokea kwenye uchaguzi mliyaona

2025 hata neno Chadema huta lisikia hapa Tanzania

Mimi mwenyewe najitokeza Front line lazima Mama ashinde.

Huoni ujenzi umeanza tena mitaani kwa kasi ya ajabu na watu sasa wanakula starehe sana

Nipo Dar hapa kwa muda toka Dodoma Hakika sasa watu wanakarabati sehemu zao za starehe kwa kasi sana na hayo ndio yanaonyesha pesa inazunguka kwa kasi sana

Tegemea matumizi ya Shikwambi zaidi 2025

Hakuna wa kukutetea maishani mwako, Jibebe na ujitetee mwenyewe, Kila mtu ana matatizo yake na ana familia yake inayomtegemea, Wewe nani tukuruhusu ukate mirija ya watu ya shibe na chakula kisa uchaguzi

Uchaguzi ni neno tu linalotumika kuonyesha kuna Demokrasia sio Tanzania tu hata baadhi ya nchi ulaya na Asia hakuna uchaguzi wa Demokrasia hata marekani wenyewe aina ya uchaguzi wao wa majimbo ni wa kidikiteta sana, Kuna majimbo yamepewa electro vote nyingi sana Marekani na mengine electro vote kiduchu sana,

Kama unategemea ushindi wa spoon feeding sahau mkuu, Utapigwa Shikwambi na hata hutaamini kama kweli akina Mama sasa wanaweza 2025 na neno Chadema hutalisikia bali litabaki kwenye kumbukumbu za kitabu cha gnesisi kuwa kilikuwa chama cha siasa Tanzania kilichojifia chenyewe kabla ya uchaguzi 2025
Mbinu gani hizo unazozungumzia,au kufuta matokeo nakubadilisha matokeo,kupora uchaguzi ndo mbinu kwako?.Ata hivyo Ccm imekua ikishinda toka uhuru ina maana marais waliopita walikua hawafanyi chochote hadi sasa ndo yanafanywa na samia.Kama umeamua kua chawa jitaidi usipiteze uwezo wako wote wakufikiri.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2130253
kusema JECHA ALIFUTA UCHAGUZI PEKE YAKE , hapa amelenga kupotosha umma , nampinga vibaya sana huyu Mzee .

Ni kweli kwamba Jecha ndiye aliyetangaza kufutwa kwa uchaguzi ule kwa vile alikuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ule
Pius Msekwa is very right, hapa anamzungumzia aliyetangaza kufuta uchaguzi na sio hisia. Hakuna ushahidi wowote wa Jecha kutumwa na yeyote au kushirikiana na yeyote, alipotangaza kufuta uchaguzi Jecha alikuwa yeye peke yake.

Hoja ya Msekwa ni kwamba Jecha, japo alikuwa Mwenyekiti wa ZEC, hakuwa na mamlaka ya kufuta uchaguzi. Mtu asiye na mamlaka ya kufanya jambo fulani halafu akaachwa anaangaliwa tuu na kweli ukafutika, ni jambo la ajabu sana.

Hili jambo hata mimi nililizungumzia sana humu

P
 
View attachment 2130253

Wote tunafahamu kwamba Salum Jecha alifuta matokeo ya Urais ya 2015 baada ya Mgombea wa chama chake ccm aliyeitwa Mohamed Shein kuangushwa kwa kishindo na Gwiji Maalim Seif , huu ndio ukweli na ndivyo dunia inavyofahamu .

Salum Jecha alifuta uchaguzi ule kwa Maelekezo ya ccm , hii maana yake ni kwamba Jecha alishirikiana na ccm kufuta uchaguzi wote wa Urais kwa lengo la kuokoa chama chake baada ya Mgombea wao kuangukia pua , ikumbumbukwe kwamba Jecha ni Mwanaccm hai aliyeshiriki chaguzi za ubunge na Urais za chama hicho kama Mgombea .

Kabla ya tangazo la kufutwa kwa uchaguzi wa 2015 vyombo vya usalama vilisambazwa mitaani ili kukabiliana na watakaopinga , hii maana yake ni kwamba kulikuwa na ushirikiano kati ya Vyombo vya dola , ccm na Jecha , Sitaki kuamini kama Pius Msekwa alikuwa hayajui haya , kiasi cha kusema JECHA ALIFUTA UCHAGUZI PEKE YAKE , hapa amelenga kupotosha umma , hawa wazee wakiachwa kuendelea kupotosha watatuona sisi vijana wa kileo ni mabwege , nampinga vibaya sana huyu Mzee .

Ni kweli kwamba Jecha ndiye aliyetangaza kufutwa kwa uchaguzi ule kwa vile alikuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ule , lakini alitumwa kufanya vile na chama chake , hakuwa peke yake , Mzee Msekwa aseme ukweli ili aendelee kuheshimiwa .
Yapo mengi ya wazee ya kupingwa lakini umeona hili moja tu!
 
Pius Msekwa is very right, hapa anamzungumzia aliyetangaza kufuta uchaguzi na sio hisia. Hakuna ushahidi wowote wa Jecha kutumwa na yeyote au kushirikiana na yeyote, alipotangaza kufuta uchaguzi Jecha alikuwa yeye peke yake.

Hoja ya Msekwa ni kwamba Jecha, japo alikuwa Mwenyekiti wa ZEC, hakuwa na mamlaka ya kufuta uchaguzi. Mtu asiye na mamlaka ya kufanya jambo fulani halafu akaachwa anaangaliwa tuu na kweli ukafutika, ni jambo la ajabu sana.

Hili jambo hata mimi nililizungumzia sana humu
P
Kwanini kwa wakati huo walinyamaza?
Kwanini waongee muda huu?
Huu ndio unafiki wenu.
Hamna msaada katika taifa hili.
Hamzibi ufa mapema.
Mtaligharimu taifa baadae kwani watu wakiendelea kuvumilia maumivu kuna siku watalipuka ghafla.
 
Mimi nilichokiona 2015 yalikuwa ni mapinduzi ya kijeshi yaliyomweka shein madarakani ila jumuiya ya kimataifa na AU na EAC wakanyamaza sijui kwanini.
Mkuu AU na EAC na SADCC zote hizi ni NPOs na sio NGOs za coffee clubs, na with my respect to Mr. Msekwa ni vema akubali kuwa ni mmoja wa failed generation,na tuelewe kuwa pia uchaguzi wa 1995 pale visiwani CUF waliibuka washindi na kilichotokea hapa Bara na hasa uchaguzi wa Dar now one day ukweli utajulikana, president Nyerere(rip)naye alikua sehemu ya tatizo...yes ndio maana history Inamwona alikuwa ni state strongman SIO ICON, nafsi zimeshaanza kuwasuta na mmoja mmoja wameanza kupata sauti zao back.
 
Kwa mpunga mrefu na marupurupu mengi ambayo Spika wa Bunge mstaafu anayapata, ni lazima naye awe sehemu ya propaganda za uongo zinazoendeshwa na chama chake. Kwa umri wake alipaswa kuwa na hofu ya Mungu, na pengine ingalikuwa ni vyema kama angekaa kimya.

Anatembea katika kanuni ya Ibilisi ya ukengeufu;
1. He was used by evil power
2. He was misused by it
3. He is now abused by it
4. Finally he will be confused by it.
Hawa wazee wamefanya mengi sana na rekodi zao ziko vizuri.Ila kinachowasumbua ni kujipendekeza kwa Marais waliopo madarakani ili watoto wao wapate teuzi.mbona hawakusema hili kipindi kilekile wakati yanatokea? Huu ni undumila kuwili
 
Kwanini kwa wakati huo walinyamaza?
Kwanini waongee muda huu?
Huu ndio unafiki wenu.
Hamna msaada katika taifa hili.
Hamzibi ufa mapema.
Mtaligharimu taifa baadae kwani watu wakiendelea kuvumilia maumivu kuna siku watalipuka ghafla.
Kama aliyebakwa katulia bila kulalamika, wewe mpitanjia uliyeshuhudia akibakwa huna mamlaka ya kuzuia chochote kama mbakaji na mbakwaji wameridhiana!.
P
 
View attachment 2130253

Wote tunafahamu kwamba Salum Jecha alifuta matokeo ya Urais ya 2015 baada ya Mgombea wa chama chake ccm aliyeitwa Mohamed Shein kuangushwa kwa kishindo na Gwiji Maalim Seif , huu ndio ukweli na ndivyo dunia inavyofahamu .

Salum Jecha alifuta uchaguzi ule kwa Maelekezo ya ccm , hii maana yake ni kwamba Jecha alishirikiana na ccm kufuta uchaguzi wote wa Urais kwa lengo la kuokoa chama chake baada ya Mgombea wao kuangukia pua , ikumbumbukwe kwamba Jecha ni Mwanaccm hai aliyeshiriki chaguzi za ubunge na Urais za chama hicho kama Mgombea .

Kabla ya tangazo la kufutwa kwa uchaguzi wa 2015 vyombo vya usalama vilisambazwa mitaani ili kukabiliana na watakaopinga , hii maana yake ni kwamba kulikuwa na ushirikiano kati ya Vyombo vya dola , ccm na Jecha , Sitaki kuamini kama Pius Msekwa alikuwa hayajui haya , kiasi cha kusema JECHA ALIFUTA UCHAGUZI PEKE YAKE , hapa amelenga kupotosha umma , hawa wazee wakiachwa kuendelea kupotosha watatuona sisi vijana wa kileo ni mabwege , nampinga vibaya sana huyu Mzee .

Ni kweli kwamba Jecha ndiye aliyetangaza kufutwa kwa uchaguzi ule kwa vile alikuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ule , lakini alitumwa kufanya vile na chama chake , hakuwa peke yake , Mzee Msekwa aseme ukweli ili aendelee kuheshimiwa .
Hawa wazee japo tunawaheshimu kuna mambo mengi ya hovyo sana wametenda wakiwa uongozini ambayo hawakutakiwa kutenda ikiwa wangeheshimu katiba hata kwa 5%
 
Shikwambi

Shinda kwa Mbinu ( Shikwambi)

Ile ya 2020 ni cha mtoto, 2025 mtapigwa Shikwambi ambayo haijawahi kutokea na hii Itakuwa Massive landslide Victory kwa Rais Samia

Mama atashinda kabla hata ya tarehe ya uchaguzi, Ndani ya miezi kadhaa Mama ameshashawishi wahisani wengi na hata biashara za matajiri zina anza kuamka

Tuliwaeleza mwaka 2020 matumizi ya Shikwambi mkatukana hapa JF, Yaliyotokea kwenye uchaguzi mliyaona

2025 hata neno Chadema huta lisikia hapa Tanzania

Mimi mwenyewe najitokeza Front line lazima Mama ashinde.

Huoni ujenzi umeanza tena mitaani kwa kasi ya ajabu na watu sasa wanakula starehe sana

Nipo Dar hapa kwa muda toka Dodoma Hakika sasa watu wanakarabati sehemu zao za starehe kwa kasi sana na hayo ndio yanaonyesha pesa inazunguka kwa kasi sana

Tegemea matumizi ya Shikwambi zaidi 2025

Hakuna wa kukutetea maishani mwako, Jibebe na ujitetee mwenyewe, Kila mtu ana matatizo yake na ana familia yake inayomtegemea, Wewe nani tukuruhusu ukate mirija ya watu ya shibe na chakula kisa uchaguzi

Uchaguzi ni neno tu linalotumika kuonyesha kuna Demokrasia sio Tanzania tu hata baadhi ya nchi ulaya na Asia hakuna uchaguzi wa Demokrasia hata marekani wenyewe aina ya uchaguzi wao wa majimbo ni wa kidikiteta sana, Kuna majimbo yamepewa electro vote nyingi sana Marekani na mengine electro vote kiduchu sana,

Kama unategemea ushindi wa spoon feeding sahau mkuu, Utapigwa Shikwambi na hata hutaamini kama kweli akina Mama sasa wanaweza 2025 na neno Chadema hutalisikia bali litabaki kwenye kumbukumbu za kitabu cha gnesisi kuwa kilikuwa chama cha siasa Tanzania kilichojifia chenyewe kabla ya uchaguzi 2025
Je Mama yako huyo huo mwaka atakuwepo , na je atakuwa mgombea ? pangeni uchafu wenu lakini tambueni kwamba yupo Mungu
 
Back
Top Bottom