Hivi kila mara huwa tunaambiwa tuwe watulivu kwani huwa tunafanya vurugu gani? Yaani wanatuambia tuliotulia tutulie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]"Serikali inawaomba wananchi wote kuendelea kuwa watulivu wakati uchunguzi huu unafanyika na baada ya uchunguzi kukamilika watajulishwa. Aidha, Baraza linawashukuru na kuwapongeza wote waliohusika katika uokozi baada ya ajali hii kutokea" @MsigwaGerson
View attachment 2416510
Ndiyo maana wengi huwa tunayapuuza tu hayo matamko yao yasiyokuwa na jipyaNi hadithi za kila siku. Serikali inawafanya wananchi wote hawana akili:
1) Report ya wizi wa fedha BOT mara baada ya kifo cha Magufuli iko wapi?
2) Report ya Polisi waliomwua mfanyabiashara Mtwara iko wapi?
3) Report ya moto uliounguza soko iko wapi?
Hata hii itaishia hivyo hivyo. Labda report itakayopatikana ni ile ya kampuni ya ATR, maana hiyo haitakuwa chini ya Serikali ya Tz.
"Serikali inawaomba wananchi wote kuendelea kuwa watulivu wakati uchunguzi huu unafanyika na baada ya uchunguzi kukamilika watajulishwa. Aidha, Baraza linawashukuru na kuwapongeza wote waliohusika katika uokozi baada ya ajali hii kutokea" @MsigwaGerson
View attachment 2416510
toka apokwe ile nafasi ya usemaji pale ikulu hajakaa sawa.Msigwa sijui namuonaje hana radha tena ya usemaji na hana test ya usemaji wenye viwango. wamtafutie kitengo kingine basi.
"Serikali inawaomba wananchi wote kuendelea kuwa watulivu wakati uchunguzi huu unafanyika na baada ya uchunguzi kukamilika watajulishwa. Aidha, Baraza linawashukuru na kuwapongeza wote waliohusika katika uokozi baada ya ajali hii kutokea" @MsigwaGerson
View attachment 2416510
"Serikali inawaomba wananchi wote kuendelea kuwa watulivu wakati uchunguzi huu unafanyika na baada ya uchunguzi kukamilika watajulishwa. Aidha, Baraza linawashukuru na kuwapongeza wote waliohusika katika uokozi baada ya ajali hii kutokea" @MsigwaGerson
View attachment 2416510
Niliwaambia Hawa Jamaa wameenda Kula sitting allowance tu"Serikali inawaomba wananchi wote kuendelea kuwa watulivu wakati uchunguzi huu unafanyika na baada ya uchunguzi kukamilika watajulishwa. Aidha, Baraza linawashukuru na kuwapongeza wote waliohusika katika uokozi baada ya ajali hii kutokea" @MsigwaGerson
View attachment 2416510
Hivi kila mara huwa tunaambiwa tuwe watulivu kwani huwa tunafanya vurugu gani? Yaani wanatuambia tuliotulia tutulie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Agenda hiyo imeshawatoa jasho.Hilo baraza wamekosa agenda nyingine za kujadili?
Mkuu bandeko andeko, apokwe vipi wakati ni promosheni, amekuwa bosi kubwa!, Msemaji Mkuu wa Serikali pia ni Mkuu wa Idara inayojitegemea, Idara ya Habari Màelezo, ina vote yake, independent, na ndie bosi wa maofisa habari wote wa serikali, idara na wakala, akiwemo Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu ambacho ni kitengo tuu!. Gerson ni bosi wa Venus!.toka apokwe ile nafasi ya usemaji pale ikulu hajakaa sawa.
Agenda hiyo imeshawatoa jasho.
Unadhani kuna agenda nyingine tena?
Uwajibikaji ndo kinachosubiriwa
Mkuu iviunafikiri hawajui chakufanya hao?Watendaji serikalini na watunga sera Mje hapa JamiiForums mpate mawazo na vipaumbele vya maendeleo ya watu vinavyotakiwa kama maji safi, salama na toshelezi ni kipaumbele namba moja ktk miji ya Tanzania .
Mkuu bandeko andeko, Msemaji Mkuu wa Serikali ni Mkuu wa Idara inayojitegemea, in vote yake, ndie bosi wa maofisa habari wote wa serikali, idara na wakala, akiwemo Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu ambacho ni kitengo tuu!. Gerson ni bosi wa Venus!.
P
Kwani ulitaka wajadili nini zaidi ya hicho walichojadili?Hilo baraza wamekosa agenda nyingine za kujadili?