Msemaji Mkuu wa serikali atoa uamuzi wa Baraza la Mawaziri kuhusu Ajali ya ndege Bukoba

Msemaji Mkuu wa serikali atoa uamuzi wa Baraza la Mawaziri kuhusu Ajali ya ndege Bukoba

"Serikali inawaomba wananchi wote kuendelea kuwa watulivu wakati uchunguzi huu unafanyika na baada ya uchunguzi kukamilika watajulishwa. Aidha, Baraza linawashukuru na kuwapongeza wote waliohusika katika uokozi baada ya ajali hii kutokea" @MsigwaGerson

View attachment 2416510
Hivi kila mara huwa tunaambiwa tuwe watulivu kwani huwa tunafanya vurugu gani? Yaani wanatuambia tuliotulia tutulie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ni hadithi za kila siku. Serikali inawafanya wananchi wote hawana akili:

1) Report ya wizi wa fedha BOT mara baada ya kifo cha Magufuli iko wapi?

2) Report ya Polisi waliomwua mfanyabiashara Mtwara iko wapi?

3) Report ya moto uliounguza soko iko wapi?

Hata hii itaishia hivyo hivyo. Labda report itakayopatikana ni ile ya kampuni ya ATR, maana hiyo haitakuwa chini ya Serikali ya Tz.
Ndiyo maana wengi huwa tunayapuuza tu hayo matamko yao yasiyokuwa na jipya
 
"Serikali inawaomba wananchi wote kuendelea kuwa watulivu wakati uchunguzi huu unafanyika na baada ya uchunguzi kukamilika watajulishwa. Aidha, Baraza linawashukuru na kuwapongeza wote waliohusika katika uokozi baada ya ajali hii kutokea" @MsigwaGerson

View attachment 2416510

Kwa hivyo udharula wote kauli ndio hiyo?. Rais wa michongo. Kuanzia Leo Sina Rais.
 
"Serikali inawaomba wananchi wote kuendelea kuwa watulivu wakati uchunguzi huu unafanyika na baada ya uchunguzi kukamilika watajulishwa. Aidha, Baraza linawashukuru na kuwapongeza wote waliohusika katika uokozi baada ya ajali hii kutokea" @MsigwaGerson

View attachment 2416510

Huyu mama sijui ana shida gani, hiyo kauli si ingetolewa bila kikao Cha dharula. Unavuta attention ya watu halafu unaleta utumbo. Huyu mama akae pembeni tupate Rais mwingine atakaye kuwa na maamuzi ya maana unaita kikao Cha dharula kuwaambia wananchi wawe watulivu.
 
Huo ni Umoja wa Mafis*,huwa hawageukani panapo nyama na mifupa.
"Report ikija utasikia, Rubani alikuwa na Makosa alionywa kuwa abaki Mwanza aligoma na alipofika Bukoba akashuhudia hali ya hewa mbaya na kurudi ilishindikana kwasababu alikuwa haoni mbele na rada ilikuwa haisomani na ndege.Kwaiyo tunawaonya Marubani kuacha tabia ya kukaidi maelekezo Kama ya Marehemu Rubani Rubaga"mwisho wa kunukuru ripoti ya mchongo!
 
"Serikali inawaomba wananchi wote kuendelea kuwa watulivu wakati uchunguzi huu unafanyika na baada ya uchunguzi kukamilika watajulishwa. Aidha, Baraza linawashukuru na kuwapongeza wote waliohusika katika uokozi baada ya ajali hii kutokea" @MsigwaGerson

View attachment 2416510
Niliwaambia Hawa Jamaa wameenda Kula sitting allowance tu
 
toka apokwe ile nafasi ya usemaji pale ikulu hajakaa sawa.
Mkuu bandeko andeko, apokwe vipi wakati ni promosheni, amekuwa bosi kubwa!, Msemaji Mkuu wa Serikali pia ni Mkuu wa Idara inayojitegemea, Idara ya Habari Màelezo, ina vote yake, independent, na ndie bosi wa maofisa habari wote wa serikali, idara na wakala, akiwemo Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu ambacho ni kitengo tuu!. Gerson ni bosi wa Venus!.
P
 
Watendaji serikalini na watunga sera Mje hapa JamiiForums mpate mawazo na vipaumbele vya maendeleo ya watu vinavyotakiwa kama maji safi, salama na toshelezi ni kipaumbele namba moja ktk miji ya Tanzania .
Mkuu iviunafikiri hawajui chakufanya hao?
Kilajambo lahovyo unaloliona na kulisikia linafanywa kwa makusudi kwa sababu ya maslahi tu, nothing else.

Wanajua solution ya kilatatizo la nchi hii lakini wanaamua kuchagua matumbo yao kwanza.
 
Back
Top Bottom