Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Ndugu zangu Watanzania,
Msemaji mkuu wa serikali atazungumza na waandishi wa habari jioni hii,ambapo atakuwa live au mbashara kupitia vyombo vyote vya habari hapa Nchini yaani vile vya serikali na vile vya binafsi vitarushaa matangazo hayo na mkutano huo na waandishi wa habari muda wa saa kumi na mbili jioni hii kuongea na umma wa watanzania.
Lengo la mkutano huo ni kuelezea maazimio yaliyofikiwa kati ya Waziri Mkuu Mheshimiwa Kasimu Majaliwa pamoja na viongozi wa jumuiya ya wafanya biashara Tanzania.
Usikose kufuatilia mkutano huu ili kuweza kujuwa nini kimeafikiwa kati ya serikali na jumuiya ya wafanyabiashara Nchini.tega sikio lako na nawa macho yako na usisubiri kuhadithiwa
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Msemaji mkuu wa serikali atazungumza na waandishi wa habari jioni hii,ambapo atakuwa live au mbashara kupitia vyombo vyote vya habari hapa Nchini yaani vile vya serikali na vile vya binafsi vitarushaa matangazo hayo na mkutano huo na waandishi wa habari muda wa saa kumi na mbili jioni hii kuongea na umma wa watanzania.
Lengo la mkutano huo ni kuelezea maazimio yaliyofikiwa kati ya Waziri Mkuu Mheshimiwa Kasimu Majaliwa pamoja na viongozi wa jumuiya ya wafanya biashara Tanzania.
Usikose kufuatilia mkutano huu ili kuweza kujuwa nini kimeafikiwa kati ya serikali na jumuiya ya wafanyabiashara Nchini.tega sikio lako na nawa macho yako na usisubiri kuhadithiwa
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.