Msemaji Mkuu wa Serikali: Rais ametoa UHURU wa KUJIELEZA lakini hajaruhusu watu walete mtafaruku na mgongano kwenye nchini

Kwani katiba inasemaje kuhusu uhuru wa kujieleza?
Pia mm na familia yangu pamoja na ukoo wangu tunataka bandari yetu tu.
Asante
 
Hata sisi wananchi hatujamchagua Huyo wanayedai ni rais.Na hatujamtuma kuuza Mali za Tanganyika pekee na kuacha za nyumbani kwao Zanzibar wakati bandari ni jambo la muungano.
kwahyo unatakaje we mjinga. ndoo tayar ashauza unasemaje
 
Kwasababu dhalimu alikuwa anavunja katiba kwa kuzuia uhuru wa maoni, hao mabingwa wa kujipendekeza wanadhani uhuru wa maoni ni hisani ya rais.
 
Hiyo namba 5 kuhusu bandari za zanzibar hazimo kwa sababu tayari wamepewa makaburu
 
Hiyo namba 2 bandari za zanzibar hazimo kwa sababu tayari wamepewa makaburu
 
Angetoa mfano japo mmoja wa uwekezaji uliowahi kufanikiwa ,huu uwe wa pili ,kama bandari ameshindwa kuusimami itakuw ni hawa elite people achaeni utan jamani
 
Kuna siku alisema kwa hasira ndo jibu la mwisho kulisikia kuwa eti SERIKALI HAIFANYI BIASHARA ,Ili hali upande wa pili wa dp world state own entity, halotel ni state own entity
 
Tuna riasi asiyewajbika yeye anataka kukaa ikulu akiwa amepaka hinna na vijora kwa kodi zetu ,badala ya kuwashugulikia wezi eti anajificha kwenye kivuli cha uwekezaji
 
Kwahio kila anayepinga ni mwizi aliyekuwa anapata Faida ?!!!

Mbona tunapeana matusi ya rejareja - Rais ameruhusu haya ? Yaani Rais ndio anaruhusu na sio Katiba inasema hivyo ?

Hawa watu wamejisahau kwamba Boss ni Mwananchi na Cheo ni Dhamana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…