Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,413
- 4,020
usomi usaidie nini kwenye siasa, nshomile kila mahali, siasa ni jukwaa hatuendi research kule mnataka maprofesa kila mahalaNi mwelekeo mzuri.Natamani CCM mpya iliyosheheni wasomi wazuri na wenye weledi wa hali ya juu.
usomi usaidie nini kwenye siasa, nshomile kila mahali, siasa ni jukwaa hatuendi research kule mnataka maprofesa kila mahala
RIP Jidula Mabambasi...Msomi atakayekubali kuwa na hulka ya toilet paper,hatutomtambua kama msomi,labda iwe wakina Profesa Maji Marefu na mwenzie Propesa jipumba!!
Mzee wa Paangalie kajichokea. Nakumbuka kuna siku ALISIMAMA Njiapanda ya Himo kumsabahi Mtu...Wampe mrema hiyo nafasi
Hamna wasi yupo Propesa Lipumbav....Huyu HANA PhD...Ila kutokana na Kazi alofanya 2015, kuna NAFASI yake nzuri tu inakuja...
Mzee wa Paangalie kajichokea. Nakumbuka kuna siku ALISIMAMA Njiapanda ya Himo kumsabahiWampe mrema hiyo nafasi
Na kwa sababu hiyo atakuwa amezoea kunywa Maziwa..Msemaji atatok kanda ya ziwa
Tatizo la kushiba kunde mchana kweupe sijuia nawe umekuwa Sheikh YahyaNdugu Christofa Sendeka kateuliwa kuwa RC Njombe. Huyu alikuwa Msemaji (Afisa Habari na Uenezi wa CCM Taifa). Nafasi hiyo sasa i wazi. Itajazwa na Mwana CCM siku za karibuni. Hii itakuwa kabla ya Mwaka mpya 2017. Kwa utaratibu wa Mwenyekiti wa CCM Taifa, nafasi nyeti za Serikali, hata Chama zinapewa WASOMI. Hawa ni Madakitari wa Falsafa na pengine Maprofesa. Kwa Mtiririko huu, Nafasi ya Msemaji wa CCM Taifa itaenda kwa Mtu mwenye kiwango hiki cha elimu...
si wampe yule lusindeNdugu Christofa Sendeka kateuliwa kuwa RC Njombe. Huyu alikuwa Msemaji (Afisa Habari na Uenezi wa CCM Taifa). Nafasi hiyo sasa i wazi. Itajazwa na Mwana CCM siku za karibuni. Hii itakuwa kabla ya Mwaka mpya 2017. Kwa utaratibu wa Mwenyekiti wa CCM Taifa, nafasi nyeti za Serikali, hata Chama zinapewa WASOMI. Hawa ni Madakitari wa Falsafa na pengine Maprofesa. Kwa Mtiririko huu, Nafasi ya Msemaji wa CCM Taifa itaenda kwa Mtu mwenye kiwango hiki cha elimu...
Lucy Ndee hana PhD!si wampe yule lusinde
Sina UHUSIANO na aliyekuwa Shehe aliyeitwa Yahaya. Miye ni Honorabo Sheikh Amri Albert Abeid Chuwa, LL.D, Chifu Mwambata wa Wa Kibosho... Kitukuu cha Mangi Sina...T
Tatizo la kushiba kunde mchana kweupe sijuia nawe umekuwa Sheikh Yahya
Au mhandisiNdugu Christofa Sendeka kateuliwa kuwa RC Njombe. Huyu alikuwa Msemaji (Afisa Habari na Uenezi wa CCM Taifa). Nafasi hiyo sasa i wazi. Itajazwa na Mwana CCM siku za karibuni. Hii itakuwa kabla ya Mwaka mpya 2017. Kwa utaratibu wa Mwenyekiti wa CCM Taifa, nafasi nyeti za Serikali, hata Chama zinapewa WASOMI. Hawa ni Madakitari wa Falsafa na pengine Maprofesa. Kwa Mtiririko huu, Nafasi ya Msemaji wa CCM Taifa itaenda kwa Mtu mwenye kiwango hiki cha elimu...
YAANI UMEPATIA KWELI MAANA HADI SASA ANAFANYA KAZI YA UENEZI WA CCM KIELEKTRONIKI ZAIDI YA GRESON MSIGWA WA IKULUHamna wasi yupo Propesa Lipumbav
Kama Raisi anajua kuchanga karata basi Steven Wasira ampatie ukuu wa mkoa wa pale pale Mara kwa Ester Bulaya na John Heche.Apewa Steven wassira.