Tetesi: Msemaji mpya wa CCM ni Dkt....

Tetesi: Msemaji mpya wa CCM ni Dkt....

Ni mwelekeo mzuri.Natamani CCM mpya iliyosheheni wasomi wazuri na wenye weledi wa hali ya juu.
usomi usaidie nini kwenye siasa, nshomile kila mahali, siasa ni jukwaa hatuendi research kule mnataka maprofesa kila mahala
 
Ndio,bora tu wawe wasomi wazuri na wenye weledi.Wasomi wana mawazo mapana na yanayolenga mbali.Huo ndio ukweli,ukiupinga utakuwa na matatizo binafsi.Tunataka CCM ya kisasa zaidi.
usomi usaidie nini kwenye siasa, nshomile kila mahali, siasa ni jukwaa hatuendi research kule mnataka maprofesa kila mahala
 
T
Ndugu Christofa Sendeka kateuliwa kuwa RC Njombe. Huyu alikuwa Msemaji (Afisa Habari na Uenezi wa CCM Taifa). Nafasi hiyo sasa i wazi. Itajazwa na Mwana CCM siku za karibuni. Hii itakuwa kabla ya Mwaka mpya 2017. Kwa utaratibu wa Mwenyekiti wa CCM Taifa, nafasi nyeti za Serikali, hata Chama zinapewa WASOMI. Hawa ni Madakitari wa Falsafa na pengine Maprofesa. Kwa Mtiririko huu, Nafasi ya Msemaji wa CCM Taifa itaenda kwa Mtu mwenye kiwango hiki cha elimu...
Tatizo la kushiba kunde mchana kweupe sijuia nawe umekuwa Sheikh Yahya
 
Ndugu Christofa Sendeka kateuliwa kuwa RC Njombe. Huyu alikuwa Msemaji (Afisa Habari na Uenezi wa CCM Taifa). Nafasi hiyo sasa i wazi. Itajazwa na Mwana CCM siku za karibuni. Hii itakuwa kabla ya Mwaka mpya 2017. Kwa utaratibu wa Mwenyekiti wa CCM Taifa, nafasi nyeti za Serikali, hata Chama zinapewa WASOMI. Hawa ni Madakitari wa Falsafa na pengine Maprofesa. Kwa Mtiririko huu, Nafasi ya Msemaji wa CCM Taifa itaenda kwa Mtu mwenye kiwango hiki cha elimu...
si wampe yule lusinde
 
T

Tatizo la kushiba kunde mchana kweupe sijuia nawe umekuwa Sheikh Yahya
Sina UHUSIANO na aliyekuwa Shehe aliyeitwa Yahaya. Miye ni Honorabo Sheikh Amri Albert Abeid Chuwa, LL.D, Chifu Mwambata wa Wa Kibosho... Kitukuu cha Mangi Sina...
 
Ndugu Christofa Sendeka kateuliwa kuwa RC Njombe. Huyu alikuwa Msemaji (Afisa Habari na Uenezi wa CCM Taifa). Nafasi hiyo sasa i wazi. Itajazwa na Mwana CCM siku za karibuni. Hii itakuwa kabla ya Mwaka mpya 2017. Kwa utaratibu wa Mwenyekiti wa CCM Taifa, nafasi nyeti za Serikali, hata Chama zinapewa WASOMI. Hawa ni Madakitari wa Falsafa na pengine Maprofesa. Kwa Mtiririko huu, Nafasi ya Msemaji wa CCM Taifa itaenda kwa Mtu mwenye kiwango hiki cha elimu...
Au mhandisi
 
Olesendeka aanze kujitafakari. Maana katukana upinzani sana na nia yakupelekwa kwenye rc atatmbuliwa wakati huo nafasi ccwezi itakua ishajazwa na mtu wa ukanda uleeeeee, halafu asubiri kupangiwa kazi nyingine,
 
Back
Top Bottom