Tetesi: Msemaji mpya wa CCM ni Dkt....

Makonda kwani na yeye dokiiita?
 
....nafasi hii wala haiitaji msomi kama Dr.....maana hata huyo Sendeka si Dr..lakin alipewa nafasi hii....Navyoona nafasi hii hupewa kwa waliofulia kama fadhila kwa chama chao...hivyo sitoshangaa watu mithili ya Wasira wakipewa nafasi hii...ili kuwaepusha na aibu huko mitaani....
 
hiyo nafasi ccm haijawahi kupewa dkt, kwanza hata uongoz wa juu wa ccm, hakuna ashawahi kuwa na elimu ulizozitaja hapo juu, ukiachilia huyu mwenyekiti wenu wa sasa(ingawa elimu yake na yy haina mtiririko mzur)....

tangu lini mnafiki akawa na kiwngo cha elimu ya juu, ndio maana huko kwenu maprof na madkt, wanaacha wanafiki watawale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…