Msemaji Serikali ya Israel: Mwili wa Mtanzania Joshua unashikiliwa na Hamas

Soma tena mkuu hilo bandiko hapo juu naona hujaelewa vzuri
bandiko limekaa kitoto sana , majuz mtoa post alikuwa anachangia kwenye mada ya muislam mwenzie kuwa hamas walikuwa wanashikiria maiti za waisrael na walitaka kubadilishan kwa wafungwa wa kipalestina , leo ndo.mmejuwa Gaza hakuna umeme ?
 

Hivi unanielewa lakini?

Nionyeshe picha au clip inayo onyesha mollel ameuawa na hamas!
 
nakusamehe kwasababu najua huelewi kitu. kwa kifupi wewe ni mbumbumbu.
 
"Black lives matter" hii ndio kampeni iliyolengwa na Israeli baada ya kumuua joshua.
kwahiyo mmebadilike tena, joshua sio yule askari, ila aliuawa na wayahudi wenyewe? akili zenu mmetupa wapi ninyi? mbona mnakuwa mzigo sana kwa taifa hili?
 
Stupid.
 
Your browser is not able to display this video.

tumia akili wewe mtoto wa papa francis uliobarikiwa na kupata baraka ukawa mbarikiwa hao ni waizrael toa picha kamili ama zoom hiyohiyo uone vizuri m.barikiwa
pole, shida nafikiri ni uwezo wa akili.nitakusaidia kukuwekea video.
 
Hata mimi namshangaa mleta mada analenga nini! Hamas wanashikilia miili ya watu wa mataifa mbalimbali
 
Hata mimi namshangaa mleta mada analenga nini! Hamas wanashikilia miili ya watu wa mataifa mbalimbali
Hamas wametangaza jana mateka wa 5 kuna uwezekano wamekufa kutokana na shambulio kutoka majeshi ya israeli huko Gaza .Hamas wanashikilia watu walio hai au waliofariki wakiwa mateka na taarifa ya mateka waliofariki hutolewa .Hamas hawajaenda Israeli kuteka maiti ya joshua na kupeleka Gaza mbona rahisi tu kipi ambacho hamuelewi?
 
View attachment 2850960

pole, shida nafikiri ni uwezo wa akili.nitakusaidia kukuwekea video.
hata kama macho huna basi akili piahuoni hao ni waizraeli hata sura zao au ni mahaba yamezidi ama hiyo lugha wanayoobgea yahudi anakijua vizuri sana maana wapo pamoja miaka nenda rudi wewe unakifahamu kiingereza upo tz hata uingereza hujafika ijekuwa wao muda wote wapo hapo mahaba bhana unatabu sana m.barikiwa
 
kwahiyo mmebadilike tena, joshua sio yule askari, ila aliuawa na wayahudi wenyewe? akili zenu mmetupa wapi ninyi? mbona mnakuwa mzigo sana kwa taifa hili?
Unajua maana ya "Black lives matter "? Unajua kwanini huyo social media influencer wa israeli Hananya Naftali ameiweka kwenye hiyo post ya Joshua?
 
Nina maswali machache sana ya kuuliza kwasasa.

1. Hamas waliwazaje kuuteka mwili wa mtu ambaye tayari wameshamuua ndani ya israeli na kumpeleka Gaza huyu mtu ana umuhimu gani sana kwenye hii vita? Tuzingatie waliuliwa 1400 siku hiyo
Israel ndiyo walimuua Joshua, wakawapa mwili Hamas wawashikie mara moja wafunge kamba za viatu. Hamas wakakubali kuwashikia kiungwana tu. Israel wakajifanya wanafunga kamba za viatu wakakimbia jumla na kjwaachia Hamas msala.
 
Halafu wametangaza kupeleka manesi Saudi ngoja watendwe na waarabu
 
Israel ndiyo walimuua Joshua, wakawapa mwili Hamas wawashikie mara moja wafunge kamba za viatu. Hamas wakakubali kuwashikia kiungwana tu. Israel wakajifanya wanafunga kamba za viatu wakakimbia jumla na kjwaachia Hamas msala.
Vichekesho kama hivi unabonyeza ngapi? 🤣
 
Unajua maana ya "Black lives matter "? Unajua kwanini huyo social media influencer wa israeli Hananya Naftali ameiweka kwenye hiyo post ya Joshua?
wewe ni mjinga, huyo hanaya ni mmoja tu, hii video ilikuwa shared na IDF hata kabla nchi yako ya bongo lala haijatoa taarifa. cha kushukuru Mungu, Israel ameifuta gaza na anataka kujenga mji mpya pale pasiwepo na mpalestina milele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…