Msemaji Serikali ya Israel: Mwili wa Mtanzania Joshua unashikiliwa na Hamas

Wameenda kusoma kilimo?View attachment 2848558

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Kumbuka vita sio harus mpaka ualikwe itakapo kukutia kama una mbio kimbia sana kama unapakujifisha jfche uko uko na usjejtokeza kamwe. Jamaa kuvaa gwanda uez jua n stuation gan ilwakuta mpakq wakaenda front na kuvaa gwanda refer mtanzania wa urus vita ilmkutq yuko jela wakataarfiwa watakao enda vtan wakirud wako huru kurud uraian kwann jamaa astumie fursa kumbe yeye ndio fursa yenyew.. kwaio tumwombeen tu kijana mwenzetu mwendo kaumalza kwa stail yake Na hao hamas Walaaniwe
 
Maelezo ya msemaji yanaeleweka mbona yule wa mwanzo mwili wake ulipatikana na ukaletwa sasa serikali au Israel wazuie mwili wa mtu ili iweje, hawana access ya huo mwili sababu upo na hamas ndo maana mzazi wake anaenda huko sasa tunashindwa kuelewa nini hapo maana kila mtu anatengeneza maswali yake
 
Nimekuelewa sana mkuu.
 
Achana na Clement, tunamzungumzia Joshua, huyo aliyevaa nguo za askari ni nani?

Tuambie, hawa hapa wawili huyo wa kwanza ndiye Joshua aliyeuawa kwenye ile clip, na huyo kwenye mavazi ya askari wanafanana? tumewawekea chuo morogoro msome pengine mtakuwa na akili lakini bado tu. hauoni aibu kwamba unataka kuuambia umma kwamba hizo picha hapa ni za mtu mmoja? magaidi kumbe hamnaga akili?
 
nimekuwekea hapo, haya, hao hapo juu utasema ni mtu mmoja? huyo ndiye Joshua.
 
Wameenda kusoma kilimo?View attachment 2848558

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app

Aisee ndiye huyu dogo kumbe alikuwa askari, sasa Hamas hawana makosa, ile video niliona hata boxer alivaa ilikuwa ya kijeshi.
Sasa kama ni kweli jamaa aliungana na jeshi na kuwa ndio sababu ya kuuwawa.

Vipi kwa wale waliokuwa wanapinga kuwa wale wauwaji sio Hamas?

Japo kwa utandawazi wetu tuliofikia saizi wa teknolojia mimi naamini picha ni rahisi sana kuichezea kuliko video.

Hii picha aliyovaa gwanda za jeshi kuna asilimia kubwa ikawa imeeditiwa lakini ile video ni ukweli.

Sasa swali linalobakia ni kwamba kwakua mchizi alijiunga na jeshi kisha baadaye alikamatwa akiwa na Hamas badi ni wazi alikuwa na magwanda

Kwa mujibu wa ile video jamaa alivaa kiraia tena simple tu, sasa sijui kama Hamas ndio walimvua gwanda na kumtafutia nguo zingine kisha wamuue hapo ndio sijajua
 
Hujaelewa maswali yangu. Mwili wa Joshua inadaiwa umeuwawa na hamas tarehe 7.10.2023 ndani ya nchi ya israeli wakati wanafanya tukio la kuuwa wale waisraeli 1400 tunaoambiwa waliwaua sasa nauliza je hamas baada ya kumuua waliamua kuondoka naye kwenda Gaza? Na je kulikua na umuhimu gani wa kuondoka na mwili wa Joshua na kuacha ile miili mingine waliyoua pale kwenye tukio?
 

Hakuna mtu anayeshabikia kifo ila kwenye uwanja wa vita hayo ni ya kawaida tu,

Mfano wewe una silaha umekutana na hamas utamuacha?? Bila shaka hitomuacha


Sasa kama wewe una maumivu kwa ajili ya kuuliwa watanzania wawili, wenzako wana maumivu ya kupoteza maelfu ya ndugu zao ikiwemo wa familia moja

Usitake kulazimisha akili zako ambazo upo free ufanane na watu walio kwenye uwanja wa vita, wale hata muda wa kureason hawana na wakikaa vibaya wanakufa wao
 
hamas walienda pale na magari na pikipiki, hawakwenda kwa mguu. maiti zilizoshikiliwa sio za mtanzania tu hata za israel zipo kadhaa, na wanafanya hivyo ili kuwatesa kisaikolojia wayahudi.
 
Mbona unatoka nje ya topic mkuu? Nimeuliza tuu kama Joshua alikua miongoni mwa 1400 waliouliwa na hamas 7.10.2023 kwanini yeye ndio mwili wake uchukuliwe mateka Gaza? Ana umuhimu gani kwa hamas? Kwa mujibu wa msemaji wa serikali ya israeli leo ni kwamba mwili wa Joshua upo Gaza.
 
Ndio umeandika nn
Yaani situation ikukutie uvae mpaka gwanda kweli
Sina uhakika tu na hio picha ila kama ndio yeye anastahili apewe pole kumbe alienda kuvaa gwanda
 
Nimejiuliza hilo swali hata mimi. Kule gaza kwasasa hakuna mafuta, israeli wamekata umeme , hospitali zimelipuliwa je maiti imehifadhiwa wapi? Je mwili wa Joshua upo salama Gaza? Au hamas wameutia chumvi usioze ? Kumbuka mpaka leo ni siku zaidi ya 70 tangu wamuuwe Joshua.
 

Tuanzie hapa kwanza, kwenye orodha ya waliotekwa na Hamas, majina ya watanzania wawili yalikuaepo au hayakuaepo? Zingatia walioshikiliwa mateka sio walikua hawajulikani walipo.

Pili, taarifa ya kifo chake ilitolewa lini na nani aliitoa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…