Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kukurupuka wwe kama unajisaidia nje. Amesema wale waliopeleka majina yao kwenye ngazi ya majimbo au waliyapeleka Tume kabla ya Leo, zoezi la uhakiki wa fomu zao unakua wa haraka zaidi, kwasbb tume ilipata muda wa kutosha kuzipitia, lakini wale waliopeleka leo inabidi wawe wavumulivu. Sasa Mgombea wenu alikua anafanya mikutano ya hadhara wakati wenzake wanawasilisha majina ya wadhamini, halafu mtegemee atoke haraka?Meko kamaliza dk15 tu pale ofisi za NEC alipowasilisha fomu yake,je tume imetumia muda gan kuhakiki wadhamini wake kama ni wapiga kura kweli?,,
Chadema hii ya mafisadi wanaogawana ruzuku? Nani ataiogopa?Wewe ndiyo mbumbumbu kilaza na waliokutuma huo ufala mnaofanya unawasaidia nini? ni kwa nini CCM wanaogopa ushindani? Kama CCM mmenunua ndege mmejenga SGR mmeleta maendeleo iweje kuwaogopa chadema hivyo?
Hapo ndo ujue kwamba hawa jamaa hata kudanganya hawajui kabisa...Meko kamaliza dk15 tu pale ofisi za NEC alipowasilisha fomu yake,je tume imetumia muda gan kuhakiki wadhamini wake kama ni wapiga kura kweli?,,
Acha uchochezi.Kwanini wakiuke Ratiba
Wanamuwekaje Rais ajaye bench kiasi hicho?.
Lakini kwetu huku kwa watu weusi ukiwa na makaratasi mengi ndo sifa nzri ya kwanza ya ufauluHalafu ukute ni Malaki ya watu. Umekwenda ba marundo ya makaratasi.