johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Utajua mbele ya safari bwashee!Una akili timamu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajua mbele ya safari bwashee!Una akili timamu?
Anajitahidi kuanndika kwa kingereza ili beberu wake asikie!Sasa lisu anacomplain nini, wakati chama chake kinakubali kuwa kuna taratibu hazikufuatwa. View attachment 1547741View attachment 1547742
Wewe ndiyo una Tatizo kichwani unawaitaje wanaume wenzenu mabeberu kwani wewe ni mbuzi jike?Anajitahidi kuanndika kwa kingereza ili beberu wake asikie!
.
Lisu anashida kichwani,. Uzuri kale kataasisi anakokategemea hakuna mtu anahangaika nako mpaka muda huu hakajajibiwa chochote
NECCCM Tumeccm wanatengeneza visingizio vya kuwakomoa chadema Tumeccm hawafanyi kazi kwa mujibu wa Sheria bali wanafanya kazi kwa mujibu wa zidumu fikra zisizo sahihi za mwenyekiti wa CCMmaana yake ni kwamba wapigiga kura walio mdhamini ni Magumashi... iweje tume iwe na doubt na wapiga kura walio kwenye daftari lao la kudumu? si ni kuangalia tu na kusema kwamba huyu yumo au hayumo... ni haraka sana - kama maji kwa glasi
Lisu atafundishwa adabu na watz ikifika oktoba. Huyo beberu wake amsterdam hatamsaidia kituWewe ndiyo una Tatizo kichwani unawaitaje wanaume wenzenu mabeberu kwani wewe ni mbuzi jike?
Atakuwa babako manake unamuwaza sanaIla jamaa mtachoka mapema, maana ni mbishi huyo balaaa.
Hivi Lissu akishinda urais Mbowe atakuwa nani.
Nawaza mgogoro Wa madaraka utakavyokuwa. Huku Mwenyekiti, kule Rais.Atakuwa babako manake unamuwaza sana
Usije tenda kosa kwa kutegemea huruma toka kwa adui.Najiuliza hivi watu wote walioandikoshwa kama wadhamini taarifa zao zote kweli zinaweza kuwa sahihi? Ni nani alikuwa na jukumu la kuandika majina kwenye fomu ya udhamini?
Je watu waliandika wenyewe? Kama mtu aliandika jina au namba na akakosea Tume ikaona kuwa hiyo namba sio sahihi, inakuwaje?
Au kama amekuja mtu kwenye Kundi akudhamini kumbr ni mamluki wa chama kingine akaandika namba na jina lisiloendana na taarifa zake kwa makusudi je itakuwaje hapo? Najiuliza tu, kwenye mazingira kama haya nini kinatokea.
Form Ina majina 230 na yanayotakiwa ni 200 tu so I believe that won't be an issueNajiuliza hivi watu wote walioandikoshwa kama wadhamini taarifa zao zote kweli zinaweza kuwa sahihi? Ni nani alikuwa na jukumu la kuandika majina kwenye fomu ya udhamini?
Je watu waliandika wenyewe? Kama mtu aliandika jina au namba na akakosea Tume ikaona kuwa hiyo namba sio sahihi, inakuwaje?
Au kama amekuja mtu kwenye Kundi akudhamini kumbr ni mamluki wa chama kingine akaandika namba na jina lisiloendana na taarifa zake kwa makusudi je itakuwaje hapo? Najiuliza tu, kwenye mazingira kama haya nini kinatokea.
Mvuto? Imekuwa show ya muziki? Hata wasio na sifa za kizalendo wanashariki?Atleast, this is great, wacha uchaguzi ukawe na mvuto wake, mwisho wa siku sanduku la kura ndio liamue nani mshindi.
Anajitambua ndio maana hakufanya kampeni wakati anatafuta wadhamainiKwa mfano Membe jana alienda NEC kuhakiki fomu zake..... Leo ametumia muda mfupi sana kuteuliwa!
Kama una nia njema kwanini wewe NEC usiwaambie wahusika kuwa pamoja na kwamba mmewahi lakini kuna moja mbili hivyo msihangae wanaokuja nyuma yenu wanashughulikiwa mapema, lakini ukaona ni busara ukayaseme hayo TBC?Ni kwa sababu, wewe umekuja mapema lakini majina (kwa mfano) hayaja hakikiwa, ni zoezi linalohitaji muda sana, halafu anakuja mwengine wadhamink wote wamehakikiwa kwa nn asiruhusiwe? Hii ndio inaonekana kuwa sababu kubwa.
Wewe mbumbumbu akili yako imejaa minyoo ya nguruwe. Kwani reallocation of fund ikifanyika kwenye bajeti kuna kosa gani? Uwanja wa chato ni kwa manufaa ya umma na hata wewe na minyoo yako utautumia.Msaliti ni yule aliyesaliti kakuchukua pesa za viwanda kaenda kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge na sasa mnawahujumu chadema kwa visingizio visivyo na mashiko