wewe una wadhifa gani ndani ya Ccm au na wewe ni takataka tu za mtaani zisizo na kichwa wala miguuUmbumbumbu wenu ndiyo unafanya mshindwe mambo mengi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe una wadhifa gani ndani ya Ccm au na wewe ni takataka tu za mtaani zisizo na kichwa wala miguuUmbumbumbu wenu ndiyo unafanya mshindwe mambo mengi!
kwaniniCck naona watagomewa kumpitisha mgombea wao
Kama kulikuwa na uhakiki wa majina siku moja kabla ya uteuzi kwanini haikuwekwa wazi kwa wagombea wote kufika ili kuhakiki wadhamini ili kuepuka ucheleweshaji.Ndio maana wengine wanaojitambua walienda toka Jana kuhakiki ili wasilete tabu Kama hizo.
Msaliti ni yule aliyesaliti kakuchukua pesa za viwanda kaenda kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge na sasa mnawahujumu chadema kwa visingizio visivyo na mashikoUelewa mdogo wa wanasaccos ndiyo shida. Msaliti Lissu anajifanya anajua sana, sasa alikuwa anahangaika na mikutano tuuu amezidiwa hata na CHAUMA. Halafu huyu anataka aongoze Tanzania??!! Never Ever!!
Mimi ni mpigakura wa uhakika wa Chama Dume.wewe una wadhifa gani ndani ya Ccm au na wewe ni takataka tu za mtaani zisizo na kichwa wala miguu
Hivi Nani wa kulaumiwa hapo..?Historia Itawahukumu kwa mnachokifanya.. Kuna siku Mtamjua Mungu ni zaidi ya Nafasi Mlizonazo. Huyu Huyu Mnayemsotesha Kuna siku Mtashangaa....
kuna wakati nadhani hawa watu wanafanya makusudi ili badae waseme wameonewa walete fujoUmbumbumbu wenu ndiyo unafanya mshindwe mambo mengi!
Wewe mbweha ndiyo juha zuzu acha ufala wako umekariri zidumu fikra zisizo sahihi za mwenyekiti wa CCM mpaka umejitoa fahamu zoteUmbumbumbu wenu ndiyo unafanya mshindwe mambo mengi!
Hakuna atakayegomewa kupitishwa hapa, wote watateuliwa.
Mungu hahusiki na ujinga wa machademaHistoria Itawahukumu kwa mnachokifanya.. Kuna siku Mtamjua Mungu ni zaidi ya Nafasi Mlizonazo. Huyu Huyu Mnayemsotesha Kuna siku Mtashindwa Mtashangaa....Lolote laweza kutokea kama risasi 16 Hazikufua dafu je Hamwuoni chochote kwenye hilo.. Time will tell...
Thibitisha kuwa chadema hawakupewa taarifa..Kama kulikuwa na uhakiki wa majina siku moja kabla ya uteuzi kwanini haikuwekwa wazi kwa wagombea wote kufika ili kuhakiki wadhamini ili kuepuka ucheleweshaji.
Hapa kuna kitu kinaamdaliwa.Usiseme wote. Chama cha CCK kimekwenda mbele ya tume na Kimeenguliwa kwa kukosa kukidhi vigezo. Hawana hata mgombea wa makamu. Mfano Sasa Jiulize, kama chama kinakuwa hakijapeleka majina ya waliodhamini kwenda kuhakikiwa, halafu likaja kutwa tatizo na huku tayari Muda umeisha, unategemea tume itaamua nini zaidi ya kusema hujakidhi vigezo na hivyo huna nafasi ya kugombea?
Mgombea wao kichaaHivi Nani wa kulaumiwa hapo..?
Hata chama Cha juzi ACT kimewazidi Jana membe alienda kuhakiki lkn chama kikuu pinzani hamkwenda sahivi mnaleta malalamiko yasiyo msingi nawakati nec walitoa siku tatu!.. licha ya hivyo kwenye majimbo pia Kuna uhakiki wa wadhamini..
Mnatafutaga sababu ili muonekane mnaonewa Tena ajabu anaegombea ni mwanasheria ila hazifuati oneni haya.. hata nanyi Mungu anawaona..
Mbowe ni puppet wa CCM, basi tu Ufipa hawajui.Mbowe amewahi kugombea urais, kwanini asingewaongoza wenzie ipasavyo ili kuipa wepesi NEC?!
Kama ni mwanasheria asiye jua kitu mbona ameigaragaza serikali kwenye kila kesi au na serikali ya magu nayo ilikua isiyo jua kitu?Tukiwaambia chadema ni mbumbumbu wanakataa!
Haya muiteni amsterdam sasa amusaidie huyo mwansheria wenu asiejua kitu
Naantombe!Nyie tume kuweni makini, huyo ndo atawalipa mishahara baada ya October 28