Uchaguzi 2020 Msemaji Tume: Kila Mgombea aliyefika kwa wakati Kupokelewa Fomu zake

Uchaguzi 2020 Msemaji Tume: Kila Mgombea aliyefika kwa wakati Kupokelewa Fomu zake

Ndio maana wengine wanaojitambua walienda toka Jana kuhakiki ili wasilete tabu Kama hizo.
Kama kulikuwa na uhakiki wa majina siku moja kabla ya uteuzi kwanini haikuwekwa wazi kwa wagombea wote kufika ili kuhakiki wadhamini ili kuepuka ucheleweshaji.
 
Uelewa mdogo wa wanasaccos ndiyo shida. Msaliti Lissu anajifanya anajua sana, sasa alikuwa anahangaika na mikutano tuuu amezidiwa hata na CHAUMA. Halafu huyu anataka aongoze Tanzania??!! Never Ever!!
Msaliti ni yule aliyesaliti kakuchukua pesa za viwanda kaenda kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge na sasa mnawahujumu chadema kwa visingizio visivyo na mashiko
 
Historia Itawahukumu kwa mnachokifanya.. Kuna siku Mtamjua Mungu ni zaidi ya Nafasi Mlizonazo. Huyu Huyu Mnayemsotesha Kuna siku Mtashangaa....
Hivi Nani wa kulaumiwa hapo..?
Hata chama Cha juzi ACT kimewazidi Jana membe alienda kuhakiki lkn chama kikuu pinzani hamkwenda sahivi mnaleta malalamiko yasiyo msingi nawakati nec walitoa siku tatu!.. licha ya hivyo kwenye majimbo pia Kuna uhakiki wa wadhamini..

Mnatafutaga sababu ili muonekane mnaonewa Tena ajabu anaegombea ni mwanasheria ila hazifuati oneni haya.. hata nanyi Mungu anawaona..
 
Usiseme wote. Chama cha CCK kimekwenda mbele ya tume na Kimeenguliwa kwa kukosa kukidhi vigezo. Hawana hata mgombea wa makamu. Mfano Sasa Jiulize, kama chama kinakuwa hakijapeleka majina ya waliodhamini kwenda kuhakikiwa, halafu likaja kutwa tatizo na huku tayari Muda umeisha, unategemea tume itaamua nini zaidi ya kusema hujakidhi vigezo na hivyo huna nafasi ya kugombea?
Hakuna atakayegomewa kupitishwa hapa, wote watateuliwa.
 
Mbowe amewahi kugombea urais, kwanini asingewaongoza wenzie ipasavyo ili kuipa wepesi NEC?!
 
Historia Itawahukumu kwa mnachokifanya.. Kuna siku Mtamjua Mungu ni zaidi ya Nafasi Mlizonazo. Huyu Huyu Mnayemsotesha Kuna siku Mtashindwa Mtashangaa....Lolote laweza kutokea kama risasi 16 Hazikufua dafu je Hamwuoni chochote kwenye hilo.. Time will tell...
Mungu hahusiki na ujinga wa machadema
 
Kama kulikuwa na uhakiki wa majina siku moja kabla ya uteuzi kwanini haikuwekwa wazi kwa wagombea wote kufika ili kuhakiki wadhamini ili kuepuka ucheleweshaji.
Thibitisha kuwa chadema hawakupewa taarifa..
 
Tukiwaambia chadema ni mbumbumbu wanakataa!

Haya muiteni amsterdam sasa amusaidie huyo mwansheria wenu asiejua kitu
 
Usiseme wote. Chama cha CCK kimekwenda mbele ya tume na Kimeenguliwa kwa kukosa kukidhi vigezo. Hawana hata mgombea wa makamu. Mfano Sasa Jiulize, kama chama kinakuwa hakijapeleka majina ya waliodhamini kwenda kuhakikiwa, halafu likaja kutwa tatizo na huku tayari Muda umeisha, unategemea tume itaamua nini zaidi ya kusema hujakidhi vigezo na hivyo huna nafasi ya kugombea?
Hapa kuna kitu kinaamdaliwa.
 
Hivi Nani wa kulaumiwa hapo..?
Hata chama Cha juzi ACT kimewazidi Jana membe alienda kuhakiki lkn chama kikuu pinzani hamkwenda sahivi mnaleta malalamiko yasiyo msingi nawakati nec walitoa siku tatu!.. licha ya hivyo kwenye majimbo pia Kuna uhakiki wa wadhamini..

Mnatafutaga sababu ili muonekane mnaonewa Tena ajabu anaegombea ni mwanasheria ila hazifuati oneni haya.. hata nanyi Mungu anawaona..
Mgombea wao kichaa
 
NECCCM Tumeccm wanajitahidi kuikwamisha chadema kwa kila hali sasa wanatunga kutengeneza visingizio vya kishamba wakizani watanzania ni wapumbavu kama wao
 
Back
Top Bottom