Msemaji wa IDF Daniel Hagari akiwa hospitali ya Al Shifa kashindwa kuthibitisha mahandaki ya Hamas

Msemaji wa IDF Daniel Hagari akiwa hospitali ya Al Shifa kashindwa kuthibitisha mahandaki ya Hamas

Weka huo uzi mmechanganyikiwa na ushabiki mandazi wenu.
Onyesheni Jeshi la Hamasi liliopo Al shifaa hospital au telecommunications centre, hayo mahandaki.
Kula hizo tende, halua na urojo kwa nidhamu.
 
JUST IN: BIDEN SAYS HAMAS HAS COMMAND CENTER UNDER AL SHIFA HOSPITAL

Reporter: "What kind of evidence the US has seen that Hamas has a command center under Al Shifa hospital?"


Biden: "I can't tell you, I won't tell you"

Reporter: "Do you feel confident based on what you know?"😂😂😂

Biden: "YES, yes..."
 

Attachments

  • twidown.mp4
    661.5 KB
Wanapiga na kuondoka kwenda wapi labda wajifiche kwenye kundi ra raia na Usichokijua ni kwamba ikitokea IDF wameshambuliwa basi uelekeo yalipotokea mashambulizi nyote mnaangamizwa haijalishi mmehusika au hamkuhusika inaitwa collective punishment maana inaonekana na nyinyi raia mnawaunga mkono Hamas.
Bro Hamas wana mamia kama sio maelfu ya video kila wakishambulia wanaweka na video kuonesha wanatoka Chini ya Ardhi kwenye Tunnels, so far Hio ya kujificha Na raia ni Excuse ya IDF kuua ila Haina ushahidi wowote wa maana,
 
Taratibu sasa, tiyari mmekubali Israel imeingia Gaza na hadi kufika hospitalini. Ni lini Hamas waliipiga Israel kuizuia isifanye operation? Na Israel ilirudi lini kiwashinda. Maana taarifa zenu humu huwa mnadai Hamas inapiga, Israel inaokota maiti za wanajeshi, Israel imezuiwa kuendelea, majenerali watano wa Israel wamefariki.

Ghafla mnalalamika Israel imevamia Al Shifa, baadae msemaji wa IDF kafika Al Shifa. Guess who is winning
Winning what Exactly, you just need to use 0.0001% ya Akili yako kusoma kuona Kilichoanzisha vita NI Hamas kuchukua Mateka na so Far IDF wanaua watu wasio husika na wameokoa Jumla ya Mateka 0. Kama Lengo la IDF ni kuokoa Mateka na mpaka sasa wamepata Mateka 0 unapata wapi Guts za kusema Wameshinda? Unless Unakubaliana na wapenda Haki Duniani kwamba lengo la IDF ni kuua Raia tu wa Palestina hawana shida na Hamas kwa watoto Na wanawake tu wamewaua wengi ila So Far They Failed kupambana na Hamas.

Na IDF walienda kuvamia AL Shifa toka tarehe 11/12 kama hakukua na Mapigano why wameingia Hospitali jana? Unless useme vifaru vyao vipo slow sana kutumia siku 4 nzima kucover kaeneo kadogo

Na Jamaa Zenu wanawatesa kweli, Video zote za Uongo walizoeka jana wamezitoa kwenye vyombo vyao vya habari baada kugundulika ni feki, haya anzeni upya kutengeneza video nyengine Maana mlizozileta sasa hivi hazitumiki tena.
 
Wanaukumbi.

Mwanzo tuliaminishwa kuwa Hospitali ya Al Shifa, kuwa ndiyo Makao Makuu ya Hamas wana maandaki chini ya hosptali wanajicha huko na kupanga mashambulizi pia wanatumia wagonjwa na raia kama kinga.

IDF wamevamia hospitali na na hii ndiyo taarifa yao.

"Wanajeshi walipata sare za Hamas "ambazo zilitupwa kwenye sakafu ya hospitali ili magaidi waweze kutoroka kwa sura ya kiraia.

Matokeo haya yanathibitisha bila shaka kwamba hospitali hiyo ilitumika kwa ugaidi, kinyume kabisa na sheria za kimataifa

Tuliingia kwenye operesheni huko Shifa wakati ambao ulikuwa sahihi kwetu kiutendaji na busara, na pia kwa kuzingatia uhamishaji wa hospitali - kulikuwa na watu wengi zaidi hapo awali na ingehatarisha vikosi vyetu. Hamas walitaka kupata picha za IDF ikiwadhuru raia na wagonjwa, na tulifanya operesheni iliyozingatia na ya hali ya juu baada ya kujiandaa kwa uangalifu mapema. Lazima uipe muda huu wa operesheni, bado kuna watu wengi huko, na lazima uidhibiti kwa kasi inayofaa"
🚨 JUST IN: IDF SPOKESMAN DANIEL HAGARI ON AL SHIFA HOSPITAL

"Troops found Hamas uniforms "that were thrown on the hospital floor so that the terrorists could escape in civilian guise

These findings unequivocally prove that the hospital was used for terror, in complete violation of international law

We entered the operation in Shifa at a time that was correct for us operationally and intelligence-wise, and also considering the evacuation of the hospital - there were many more people there before and it would have endangered our forces. Hamas wanted to obtain photos of the IDF harming civilians and the sick, and we did a focused and high-quality operation after careful preparation in advance. You have to give this operation time, there are still a lot of people there, and you have to manage it at the right pace"

Source: Times of Israel
👇🏽Wameweka huu ushahidi😂
View attachment 2814821
Kwani wanajeshi wa HAMAS sasa hivi wako wapi?
Mi nadhani mahandaki yapo ila wameshindwa kuyaona
 
IDF DELETED THEIR POST WHERE THEY CLAIMED THEY HAD “COMPELLING EVIDENCE” OF “HAMAS HQ” AT AL-SHIFA HOSPITAL

NO HQ
NO Tunnels
No Hostages

They are becoming a laughing stock.

Does this propaganda actually work on anyone?
 

Attachments

  • IMG_6266.jpeg
    IMG_6266.jpeg
    63.6 KB · Views: 1
Kwani wanajeshi wa HAMAS sasa hivi wako wapi?
Mi nadhani mahandaki yapo ila wameshindwa kuyaona
Hamas wapo kwenye Mahandaki, tatizo sio hilo.

Tatizo ni vita toka imeanza wanasema Mahandaki ya Hamas yamefichwa Hospitali, Shule, Kambi za wakimbizi, Nyumba za Raia etc. Na Israel Kaua watu zaidi ya 10,000 wengi watoto Na wanawake kwa Kisingizio hicho.

Sasa ukweli wote unatoka hakuna Hayo mahandaki huko Hospitali ndio wanakuja na propaganda, na wameanza kusafisha Kwa kudelete habari za zamani Kwamba Walisema hivyo.


View: https://twitter.com/ShaykhSulaiman/status/1724923270246404584
 
Wanaopigana ni Hamas na Israel, lkn mnao bishana watanzania mnaoburuzwa buruzwa tu ,wenzenu wanapinga kuburuzwa nyie mkifika kujadili matatizo yenu mnatengana huyu ccm yule cdm, wkt wote mnaNJAA na SHIDA tele ,ila kwa UNAFIKI WENU mnajiona WAMOJA
 
Uzuri tunawachapa
A Palestinian comedian mocks the Hamas leader for hiding in tunnels under the Shifa hospital.

Does that mean everyone in Gaza knew of the tunnels under the Shifa hospital for over a decade?

"Abu Ubaidah is under the Shifa Hospital. We Know!"

Comedian name: Imad al-Frajeen😂
 
Bro Hamas wana mamia kama sio maelfu ya video kila wakishambulia wanaweka na video kuonesha wanatoka Chini ya Ardhi kwenye Tunnels, so far Hio ya kujificha Na raia ni Excuse ya IDF kuua ila Haina ushahidi wowote wa maana,
Hizo video huwa wanaonyesha wanapoibuka kwenye tunnels na kushambulia hawaonyeshi baada ya shambulio kama wanarudi tena kwenye mashimo ama laah hii Ina maana wakishashambulia basi wote wanaangamizwa yaani kushambulia IDF ni sawa na kujitoa muhanga.
 
Wanaopigana ni Hamas na Israel, lkn mnao bishana watanzania mnaoburuzwa buruzwa tu ,wenzenu wanapinga kuburuzwa nyie mkifika kujadili matatizo yenu mnatengana huyu ccm yule cdm, wkt wote mnaNJAA na SHIDA tele ,ila kwa UNAFIKI WENU mnajiona WAMOJA
Umekosea njia hapa ni International Forum malalamiko yako peleka Jukwaa la Siasa .
 
Jeshi la Kizayuni linaendelea na majaribio yake ya kuwapumbaza watu

DVD zinatumika kunakili picha za CT na MRI!!

Viatu vilivyokamatwa na jaketi za kujikinga ni safi kuliko viatu vya askari wa jeshi la adui!!

Jeshi la Kizayuni lilisafirisha katoni zenye silaha zenye maandishi “Medical Supplies” na baadaye kuziweka ndani ya vyumba vya CT scan na kuzitoa silaha walizodai kuwa ni za Hamas!! Kwa kujua kwamba "Waisraeli" wanazungumza Kiebrania, na Wapalestina wanazungumza Kiarabu, kwa nini maandishi haya yameandikwa kwa Kiingereza na ujumbe huu unaelekezwa kwa nani?!

Camera iliyopo ni ya ufuatiliaji wa idara ya MRI, kwani ni moja ya vitengo muhimu vya matibabu katika hospitali, na ni kamera iliyopo hospitalini. Nini cha ajabu hapo?!

Baada ya kufichuliwa kama ulaghai, kama waigizaji , IDF ilifuta video kwenye tovuti rasmi.
 

Attachments

  • IMG_6269.jpeg
    IMG_6269.jpeg
    33.4 KB · Views: 1
  • IMG_6271.jpeg
    IMG_6271.jpeg
    43.7 KB · Views: 1
  • IMG_6270.jpeg
    IMG_6270.jpeg
    22.5 KB · Views: 1
Umekosea njia hapa ni International Forum malalamiko yako peleka Jukwaa la Siasa .
Bado Waafrica tunashida zetu hao ,wajinga waache nao wakutane na shida, Okoa mwafrika mwenzako acha utumwa ,Mkuu
 
Hizo video huwa wanaonyesha wanapoibuka kwenye tunnels na kushambulia hawaonyeshi baada ya shambulio kama wanarudi tena kwenye mashimo ama laah hii Ina maana wakishashambulia basi wote wanaangamizwa yaani kushambulia IDF ni sawa na kujitoa muhanga.
Haya tu assume unachoongea ni sahihi, wanatoka wanapiga IDF wanauliwa.

Je ndio human Shield Hio?
 
Israel safisha gaza yote, chunguzeni na kwingine mnakohisi kuna mahandaki asibaki gaidi hata mmoja
 
Back
Top Bottom