HA HA HAAAAAAAAAAAAAANi sehemu ya wanajeshi wa CHADEMA mnawaita makamanda.Mtu aweza kuwa kamanda bila kuwa mwanajeshi?.Cheki wanajeshi wa CHADEMA yaani makamanda wakiwa wametinga miwani yao ya kuchomea vyuma
![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HA HA HAAAAAAAAAAAAAANi sehemu ya wanajeshi wa CHADEMA mnawaita makamanda.Mtu aweza kuwa kamanda bila kuwa mwanajeshi?.Cheki wanajeshi wa CHADEMA yaani makamanda wakiwa wametinga miwani yao ya kuchomea vyuma
![]()
Kwani Lowasa alianza lini kuwa mwachama wa CDM?Hoja si uteuzi wake tu,alianza lini kuwa mwanachama wa Chama cha mapinduzi huku akiwa mwanajeshi?
Kama ilivyotokea kwa EDWARD. Safi sana.Sio lazima awe alikuwa mwanachama.Aweza kuwa kaanza jana hiyo hiyo kila kitu kina tarehe ya kuanza
Hili limetajwa wapi katika katiba ya jamuhuri ya Tanzania???Siku unayoteuliwa unaacha jeshi huwi mwanajeshi na unashika madaraka siku hiyo hiyo kama ambavyo lowasa alivyofanya.Siku alipoteuliwa na CHADEMA kuwa mgombea siku hiyo hiyo aliacha CCM na kuwa mgombea uraisi
Kwani Lowasa alianza lini kuwa mwachama wa CDM?
Coz nimepiga hesabu kununua Crown kwa sasa kodi kubwa hapana ngoja nianze na Ractis kaka ingekuwa kipinda cha JK sawa ila sio usawa huu wa JPMGentleman unataka kununua gari ya kidemu