DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Nimelia sana baada ya kuhadithiwa namna TOTO alivyonyanyasika UTOPOLONI
1. Bonus wanapewa timu nzima baadae inatoka bonus ya wageni watupu[emoji24]
2. Aliwahi kuomba gari akaambiwa nyie na gari wapi na wapi labda tukupe Vespa Used
3. Aliwahi kuomba nguo mpya aende kwenye tuzo za ligi kuu wakampa koti la aliyekua Makamu Mwenyekiti na wakampa miwani ya Jua wakati hafla ilikua ni usiku.
Funga kazi sasaaaa TOTO alichoka maisha ya boarding unaambiwa kule Kimbiji kuna zamu ya kuokota hadi kuni
Imeniuma sanaaaaa
Pole sana TOTO iyo hela waliyoirudisha kwenye account yako wataifuata wenyewe ngoja sikukuuu ziishe
Kwa mkoti huu hata mimi ningehamaView attachment 2456889
1. Bonus wanapewa timu nzima baadae inatoka bonus ya wageni watupu[emoji24]
2. Aliwahi kuomba gari akaambiwa nyie na gari wapi na wapi labda tukupe Vespa Used
3. Aliwahi kuomba nguo mpya aende kwenye tuzo za ligi kuu wakampa koti la aliyekua Makamu Mwenyekiti na wakampa miwani ya Jua wakati hafla ilikua ni usiku.
Funga kazi sasaaaa TOTO alichoka maisha ya boarding unaambiwa kule Kimbiji kuna zamu ya kuokota hadi kuni
Imeniuma sanaaaaa
Pole sana TOTO iyo hela waliyoirudisha kwenye account yako wataifuata wenyewe ngoja sikukuuu ziishe
Kwa mkoti huu hata mimi ningehamaView attachment 2456889