Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Yanga tushamfunga mala nyingi tu au hukuwahi shuhudia Fraga akifungua goli Miquissone akipachika la Nne mwaka juzi tu.Makolo mmeshindwa kumfunga yanga hao kmc
Makolo mmeshindwa kumfunga yanga hao kmc ndo wataweza kweli? Mbona uwa mnajitoa sana ufahamu nyie watu? Izo bahasha yanga kazitembeza kwenye mechi 43 ikiwemo simba kwaiyo waache na kmc wafaidi izo bahasha msubili na nyie za kwenu awamu nyingine tutoleeni njaa zenu
Au ulikuwa hujazaliwa. Na pale Kigoma hali ilikuwaje.