Msemaji wa M23: Hatujashirikishwa katika Mazungumzo ya Amani Nairobi hivyo Kipigo kitaendelea huko Congo DR

Msemaji wa M23: Hatujashirikishwa katika Mazungumzo ya Amani Nairobi hivyo Kipigo kitaendelea huko Congo DR

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Hii ni mara ya Pili M23 tunabaguliwa na hatushirikishwi katika Mazungumzo ya kutafuta Amani ya Kwetu Congo DR kama haya ya Leo Nairobi Kenya hivyo nasi tutaendelea Kuwapambania Wakongo kwa Kupambana na Utawala wa Rais Tshisekedi ambao ni wa Kibaguzi hasa kwa Wakongo tutokao Mashariki" Wille Ngoma Msemaji wa Kundi la Waasi wa M23.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia

GENTAMYCINE naungana nao M23 kwa huu Uamuzi wao kwani ni Upumbavu na Chuki kufanya Mkutano wa Amani ya Congo DR huku wenye Madai yao Waasi wa M23 wakibaguliwa na kutoshirikishwa ili Kusikilizwa na Kumalizana nao.
 
"Hii ni mara ya Pili M23 tunabaguliwa na hatushirikishwi katika Mazungumzo ya kutafuta Amani ya Kwetu Congo DR kama haya ya Leo Nairobi Kenya hivyo nasi tutaendelea Kuwapambania Wakongo kwa Kupambana na Utawala wa Rais Tshisekedi ambao ni wa Kibaguzi hasa kwa Wakongo tutokao Mashariki" Wille Ngoma Msemaji wa Kundi la Waasi wa M23.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia

GENTAMYCINE naungana nao M23 kwa huu Uamuzi wao kwani ni Upumbavu na Chuki kufanya Mkutano wa Amani ya Congo DR huku wenye Madai yao Waasi wa M23 wakibaguliwa na kutoshirikishwa ili Kusikilizwa na Kumalizana nao.
Fake news
 
Hao m23 walifanya makubaliano na kabila baba na sio serikali ya congo, wamfate kabila kaburini wakamdai makubaliano yao. Zaidi wafurushwe hadi kigali kwa baba yao
 
Hao m23 walifanya makubaliano na kabila baba na sio serikali ya congo, wamfate kabila kaburini wakamdai makubaliano yao. Zaidi wafurushwe hadi kigali kwa baba yao
M23 ni raia halali wa Congo , wanapigana kwa sababu wanatishiwa na genocide kutokana na siasa za kikabila na wanashambuliwa pande zote na wahutu wenye siasa kali waliokimbia Rwanda na serikali ya Congo, wasipokuwa makini watasafishwa acha wafanye kinachotakiwa to save themselves na kupata haki yao
 
M23 ni raia halali wa Congo , wanapigana kwa sababu wanatishiwa na genocide kutokana na siasa za kikabila na wanashambuliwa pande zote na wahutu wenye siasa kali waliokimbia Rwanda na serikali ya Congo, wasipokuwa makini watasafishwa acha wafanye kinachotakiwa to save themselves na kupata haki yao
Lakini wanafadhiliwa na Rwanda
 
Fake news
Pumbavu nimeweka hapo hadi Source ya Taarifa hiyo kuwa ni BBC Swahili Dira ya Dunia.

Punguza 'Kukazwa' na 'Kunukudiwa' hovyo ili Akili zako zikae sawa kwani hali ni mbaya.

Usiache Kunifuatilia katika kila Thread na Posts zangu hapa JamiiForums ili uniongezee Fame hapa JamiiForums sawa?

Leo naona zile ID's zako Mbili ziko Likizo. Kuna Threads zingine 4 naenda Kuzianzisha usikose kuja Kunidhihaki, Kunichokoza na Kunishambulia kama Kawaida yako sawa?
 
Pumbavu nimeweka hapo hadi Source ya Taarifa hiyo kuwa ni BBC Swahili Dira ya Dunia.

Punguza 'Kukazwa' na 'Kunukudiwa' hovyo ili Akili zako zikae sawa kwani hali ni mbaya.

Usiache Kunifuatilia katika kila Thread na Posts zangu hapa JamiiForums ili uniongezee Fame hapa JamiiForums sawa?

Leo naona zile ID's zako Mbili ziko Likizo. Kuna Threads zingine 4 naenda Kuzianzisha usikose kuja Kunidhihaki, Kunichokoza na Kunishambulia kama Kawaida yako sawa?
Fake news
 
Pumbavu nimeweka hapo hadi Source ya Taarifa hiyo kuwa ni BBC Swahili Dira ya Dunia.

Punguza 'Kukazwa' na 'Kunukudiwa' hovyo ili Akili zako zikae sawa kwani hali ni mbaya.

Usiache Kunifuatilia katika kila Thread na Posts zangu hapa JamiiForums ili uniongezee Fame hapa JamiiForums sawa?

Leo naona zile ID's zako Mbili ziko Likizo. Kuna Threads zingine 4 naenda Kuzianzisha usikose kuja Kunidhihaki, Kunichokoza na Kunishambulia kama Kawaida yako sawa?
Weka picha
 
M23 ni raia halali wa Congo , wanapigana kwa sababu wanatishiwa na genocide kutokana na siasa za kikabila na wanashambuliwa pande zote na wahutu wenye siasa kali waliokimbia Rwanda na serikali ya Congo, wasipokuwa makini watasafishwa acha wafanye kinachotakiwa to save themselves na kupata haki yao
Wapumbavu wengi na Wendawazimu hapa na wenye Chuki na Watutsi na Rais wa Rwanda Paul Kagame hawataweza Kukuelewa kwa haya Madini uliyoyaandika hapa isipokuwa ni kwa Sisi 'Brainiacs' Wachache tuliopo.
 
"Hii ni mara ya Pili M23 tunabaguliwa na hatushirikishwi katika Mazungumzo ya kutafuta Amani ya Kwetu Congo DR kama haya ya Leo Nairobi Kenya hivyo nasi tutaendelea Kuwapambania Wakongo kwa Kupambana na Utawala wa Rais Tshisekedi ambao ni wa Kibaguzi hasa kwa Wakongo tutokao Mashariki" Wille Ngoma Msemaji wa Kundi la Waasi wa M23.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia

GENTAMYCINE naungana nao M23 kwa huu Uamuzi wao kwani ni Upumbavu na Chuki kufanya Mkutano wa Amani ya Congo DR huku wenye Madai yao Waasi wa M23 wakibaguliwa na kutoshirikishwa ili Kusikilizwa na Kumalizana nao.

Safi watakula kipigo hadi wasambaratike kama mwaka ule!Wasituletee ujinga wao hapa! Ni kula mitalimbo tu, hakuna dawa nyingine! Nyoko zao hao!
 
Lakini wanafadhiliwa na Rwanda
Kenya upande wa Mpaka wao wa Migori kuna Wajaluo kama ilivyo kwa upande wa Tanzania katika mpaka wao wa Isebania.

Swali Kwako...Je, Siku Wajaluo wa Kenya ( Migori ) wakianzisha Vita na Serikali ya Kenya mtasema kuwa Tanzania inawasaidia kwakuwa na huku pia Wajaluo wako?

GENTAMYCINE nikiwadharau wengi Wenu hapa JamiiForums na Kuwaambieni kuwa hamna Akili mnachukia na Kunikasirikia wakati kumbe Kiuhalisia huwa nakuwa niko sahihi 100%
 
Kwa udhamiriaji huo wa kuwaondoa M23,ikishindikana safari hii kuwaondoa,hao waasi wataleta madhara sana.
 
Back
Top Bottom