Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
- Thread starter
- #21
Natamani Rais Samia asome uzi huu na atathmini kauli yake ya kulipa pensheni watumishi kila mwezi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifupi kuna kitu sijakielewa kwenye hoja yako.Mkuu wako kasema ilitoka tar 22 wewe unakuja na 24 jioni sasa mnufaika kaenda tar 24 saa 2.30 usiku ATM hajakuta kitu nani muuongo kati yenu na mimi niliyeenda saa 2.30 usiku
Mkuu shkamooKifupi kuna kitu sijakielewa kwenye hoja yako.
Iko hivii? Mimi ni mstaafu(hazina) na pensheni ikiingia benki hujulishwa kwa notification.
Ilipofika Trh 24 jioni iliingia notification ya benki kunitaarifu kuwa pensheni imeingia.
Sasa kwa wastaafu (wa mifuko ya kijamii) sielewi kama nao waliingiziwa kwa muda huo ama lah.
Lolote laweza kutokea na siwezi kubishi.
Marahaba ahsante.Mkuu shkamoo
Upeleke Twitter ana page yake kule...Natamani Rais Samia asome uzi huu na atathmini kauli yake ya kulipa pensheni watumishi kila mwezi.
Mkuu haya mambo mngeyatungia sheria thabiti wakati mlipokuwa bado kwenye utumishi wa umma. Tatizo watu wanapokuwa bado kazini hasa wakiwa kwenye nafasi mara nyingi ndo wanakuwa vinara wa kukandamiza haki za wenzao, sasa inapokuja muda wa kustaafu ndo vilio vinaanza kulaumu kila mtu aliyepo kwenye nafasi. Ni bora kuwa mvumilivu maana haya mambo tumeyapalilia wenyewe................Natamani Rais Samia asome uzi huu na atathmini kauli yake ya kulipa pensheni watumishi kila mwezi.
Kifupi kuna kitu sijakielewa kwenye hoja yako.
Iko hivii? Mimi ni mstaafu(hazina) na pensheni ikiingia benki hujulishwa kwa notification.
Ilipofika Trh 24 jioni iliingia notification ya benki kunitaarifu kuwa pensheni imeingia.
Sasa kwa wastaafu (wa mifuko ya kijamii) sielewi kama nao waliingiziwa kwa muda huo ama lah.
Lolote laweza kutokea na siwezi kubishi.